Hii ni kwa wapenda amani na maendeleo tu. Bavicha hawahusiki.

Status
Not open for further replies.
Hapo dogo nimekusoma na BAVICHA wamekupata vizuri.Lengo lako hapa inaonekana si vijana kujadili kuhusu rasilimali zetu wala nini,ulilenga kuwachana BAVICHA.Mmmmh.
 
Eti baada ya kutoka ibadani! Labda kama kwenye ibada yenu wanagawa viroba badala ya ekarist takatifu! Sorry!
 
Awachane??? ajichane?? Huoni mawe anayopewa hapa mpaka anajificha chini ya kitanda
Hapo dogo nimekusoma na BAVICHA wamekupata vizuri.Lengo lako hapa inaonekana si vijana kujadili kuhusu rasilimali zetu wala nini,ulilenga kuwachana BAVICHA.Mmmmh.
 
Huu ----- ndio wazo, kumbe wewe ni kilaza namna hii? bora ulihama CDM.
 
thread ina mantiki hii

comment za bavicha zinaonesha clearly

kuwa hawaitaji maendeleo wala amani..
 
Ikiwa ni jumapili tulivu yenye rasha rasha ya mvua za hapa na pale katika jiji kubwa la Dar es salaam, Dada yenu nikiwa nimebarizi katika nyumba ya wazazi wangu baada ya kuhudhuria ibada muhimu ya leo na baada ya uchovu wa kushiriki kwa vifijo na nderemo harusi ya rafiki yangu kipenzi Habib Mchange pale Diamond Jubilee jana usiku. Nimejiwa na wazo.,wazo la Amani na haki. WAZO la kimaendeleo, nami nikasema ni vema vijana wenzangu wakafahamu wazo hili na wakalijadili.
Lakini nitoe tanbihi kuwa wazo hili haliwahusu Bavicha kwa namna yeyote ile kwa maana wao si wapenda amani wala si wapenda maendeleo. Ni vijana wasiojitambue wanaoutumika bila kujua hatma yao. Wanashiriki matumizi ya mihadarat na vinywaji vikali (mods tafadhali nina ushahidi wa majina na picha,mnitendee haki)

Wazo lenyewe ni juu ya rasilimali za nchi na manufaa yake kwa jamii yetu. TANZANIA ni nchi yenye kufahamika kwa rasilimali nyingi na kubwa.

maendeleo ya nchi hii kutokana na rasilimali hizi zinategemea kwa kiasi kikubwa uwezo, ari na maarifa ya wasimamizi wa husika hapa namaanisha viongozi.

Viongozi hawa wa sasa wamesaidia katika kuset njia ya namna ya kurina rasilimali hizo na sisi tunategemea kuwa viongozi wa baadae wa kuzisimamia na kuziendeleza rasilimali hizi, na kwa maana ya wasiwasi wangu juu ya namna vijana tulionao leo, je ni aina ya vijana ambao wanaweza kukabidhiwa nyadhifa na kizitendea haki. Vijana ambao wakiambiwa nyuma geuka wanageuka kama mazombi ambao hawafikiri wahawajiulizi mara mbili.

Nimewatoa bavicha kwani wao ni vijana ambao wamejitoa sadaka kuwa hawana chochote cha kupoteza katika nchi hii. Wameshajitoa muhanga kuwa wao ni wa mtu na hivyo maisha yao na future yao inategemea mtu huyo. Ni watu ambao wameukumbatia ujinga na kuwadharau werevu. Wao ni wafuasi wa wale waliopotea. Hawafuati isipokuwa upotevu.

Vijana tujadili wazo hili la namna ya kuzisimamia rasilimali zetu katika kipindi cha uongozi wetu na kizazi chetu na kile kijacho.
Uligusia suala la amani hapa au mimi nina makengeza katika usomaji? maana kama ni jawabu ni ndio itabidi utulie mapaka mning'nio uishe i sugest upate sprite baridiASAP!
kwa nini nahukumu hivi?nitajijibu
huwezi kuhubiri amani huku ukilitenga kundi fulani la watu(hatu complain as we will not benefit at all associating with the likes of you).
Kwenye amani haitafutwi amani bali hutunzwa sasa sijui wewe na kundi lako mna matatizo gani mpaka mnatafuta amani.
Kuhusiana na maendeleo,misingi ipi bora ya usimamizi wa rasilimali unayoona (kwa kupitia akili hangover yako )viongozi wa sasa wametuwekea? mashimo ya migodi isiyo na tija?jinsi tembo wanavyokuwa decimated kwa kasi ya ajabu kila siku? umilikishwaji wa ajabu wa ardhi kwa wageni ,au kubwimbika kuliko kithiri kwa vizazi vyao? .
hayo ni kuzungumzia machache tu kadadaaa nakuomba usijibu leo subiri kesho utakapo kuwa na clear head!
 
Sio Kejeri
nazingatia umri wake na umuhimu wa swala zima la ndoa, kujifanya kukaa kimya haisaidii kitu, wanawake umri ukienda na hawajaolewa inawasababishia matatizo ya usongo wa mawazo, sio kwake tu, niko concerned hata kwa ndugu zangu wa karibu pia.

swala la kuzungumzia mtindi wake nalo lina husika.
Muislamu kama wewe unataka kutetea Mwanamke anayeweka matiti yake wazi? au Itikadi za kisiasa zimeanza kuzidi maelekezo ya Mtume.
Ritz anamtaka anazuga hapa kumbe anatafuta huruma,mzee wa beki3..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom