Hili jambo halitatulia kamwe mpaka hatua stahiki zitakapochukuliwa. Jambo hili litatumika kama reference kwa matukio yote yatakayofanana na hilo kutokana na maamuzi yatakayochukuliwa, iwe ni kwa kulinyamzia au kulichukulia hatua. Taswira ya taifa itaonekana jinsi swala hili litakavyomalizwa...
Hii ni kwa mashabuki wa Yanga tu. Tunawaomba mjiandae kisaikolojia kwani kesho watani wenu wa msimbazi watawachinjilia mbali kwa bao nyingi tu, huenda zikazidi zile mnazozikumbuka.
Sababu zipo wazi.
Bado zamu yako ikifika utaomba tu kujiunga na chadema. Huko nyuma zipo taarifa kuwa hata mwenykiti wako mmoja aliwahi kufikiria kujiunga nao kipindi kile cha mizengwe. Marehemu spika alifanya kabisa mazungumzo na Dr Slaa kuhusiana na jambo hilo hilo na wala si mara moja. Yatakapokufika mwenyewe...
Bora umekubali kuelimika. Kweli leo nimejiuliza ni msemaji ukweli huyu huyu ambaye wakati mwingine hujenga hoja fikirishi, au mtu ame hack ID yake? Kama ni wewe yule yule basi huenda hoja nyingine unazoleta hapa huwa unapewa na watu mbali mbali na wewe ni mchapishaji tu. Kwa kweli ya leo iko too...
Umewahi kumwona mtu akiwa mbele yako anaonekana nadhifu kwa mavazi yake lakini akikupita tu ukimtazama kwa nyuma yupo uchi!! basi huyo ndiye mtanzania ana mionekano miwili.
Ukweli ni kwamba alimfananisha Lowasa na mtume Mohamed S.A.W siku aliyoingia Dar kutafuta kura za wadhamini. Na wewe bibie uliufyata. Kweli surat mnafikun uliandikiwa wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.