Remember, they have to finance those vikaragosi as well; where are they going to get the money for VIKARAGOSI? They have to take some from the Tanzanian tycoons
Mtu anae gombea kidemokrasia anaivurugaje nchi? Kama kua na tamaa ya madaraka then tuwalaumu ccm wote cause HATA wao wanajua kua hawapendwi lakini wanatumia police, jeshi, TISS nk kukaa madarakani na wala hatuwakaumu
Wajumbe wana nafuu kubwa sana kaka, wajumbe wanakukata mara 1 then mtakutana after 5 years, wale wa Kilwa ni balaa, imagine mgombea anaweza kupotea na gari mazima yaani, yaani yeye na gari wote wanapotea, just imagine
Unachanganya sana mambo, sijui kwa kujua au kutokujua? Waislamu dini yenu inalalamikiwa kwa kusababisha mauaji, fujo nk, yanatumika maandiko yenu kuhalalisha hayo mambo. Uliyem quote hataji au kuwalalamikia Waislamu, anaiponda dini. Well, hebu taja andiko alilotumia Hitler kuua Wayahudi...
Kusingizia visivo singizika; hivyo vitu vilivyo tajwa hapo ju enzi za TANU vilikuwepo? Walaumiwe watawala waliopo sasa na sio wazee wale wa TANU ambao degree holders huenda hawakuzidi 5, leo kila mtu hadi mtoa risiti anayo halafu uilaumu TANU? Interesting, nyie ndio mnalaumu ukoloni eti...
Nina hakika wale wanamshikiria Tundu hawana mioyo ya binadamu, sio kwa ukatiri ule; shetani akasome yaani so sioni kama wanaweza kujifunza chochote kupitia kifo hiki
Halafu kina Webabu wapo busy na njaa ya Wapalestina while waongo tu, huwasikii wakiwa busy na our fellow blacks! Israel Vs Hamas utadhani tuna undugu nao.
Kwa haraka haraka unaweza kuiamini hi HABARI lakini ukitafakari na kuunganisha dots kadhaa, unapata ukakasi wa kuamini hi habari. We all knows uhusiano uliokuwepo na uliopo kati ya Iran, Hamas, Hezbollah, Syria ya Al Asady, Houthis nk; wote walionesha kufurahishwa na tukio au shambulio lile la...
Kupitia vita hi, viongozi wa Hamas wanatajirika sana, wale viongozi wao walio uawa wote walikua ni mabilionea, binti wa Yasser Arafat nae is one of the big billionaire so wananchi wanatumika kama shield tu na sie wavivu wa kufikiri tunalaumu Israel while Hamas wanapenda vita iendelee. Jiulize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.