Wana jf.Kinacho endelea na serikali ya magufuli ni danganya toto tunataka mafisadi papa wakamatwe. sio vidagaa wakamatwe mafisadi wote walitajwa na dk.slaa pale mwembe yanga.akamate mapapa wa ufisadi na sio kukamata vidagaa.
BONFAS JACOB.hata mimi ndio mwalimu wake ktk siasa.baada ya kushawishiwa na m.kiti wa wazee jimbo la ubungo na kujiunga na chadema.tulimshawishi agombee uongozi ktk chama,akafungua tawi ubungo kisiwani na yeye kuwa m.kiti wa tawi mwaka 2009 aligombea uenyekiti wa mtaa wa kisiwani na kuwa mshindi...
CHADEMA sasa inapaswa kupitia upya na kufanya masahihisho. kwa maamuzi yote magumu yaliyo wahi kuchukuliwa na vikao vya chama hasa KAMATI KUU.kwakuwa imeweza kutengua msimamo wake na kuvunja serikali kivuli bungeni na kuunda serikali ya pamoja inayo wakilisha upinzani bungeni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.