Recent content by makwega7

  1. M

    Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

    Si hiari yake alipewa "take care" ndio akachiwa uraisi TFF. Uraisi mtamu
  2. M

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Nimepitwa. Pius Msekwa ameaga dunia lini?
  3. M

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    PLAUZ ikibana nyanya kiapo kinatupwa kule, atataja mpaka ambao hakuulizwa.
  4. M

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Wengine wanaweza kujiua, ukizingatia ni watu wazito, wakubwa wenye kuheshimika lakini fake IDs zikawadanganya na kufanya tofauti na heshima zao au nafasi zao au kuaminiwa kwao.
  5. M

    Maxence Melo: Uvamizi uliofanywa ofisi za JamiiForums haujaathiri Shughuli, Miundombinu na wafanyakazi

    Inawezekana mnatulizwa ili msiingie taharuki zaidi huku mkisubiri kudakwa kama kuku mwenye ugonjwa wa kusinzia.
  6. M

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Kunguru moga huficha ubawa wake.
  7. M

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Serikali haina holiday kwenye swala la usalama. .
  8. M

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Saver ndogo zinakuwepo hapa hapa. Kipindi cha Jiwe vyombo vya habari vyote ikiwemo mitandao ya kijamii walitakiwa ilitungiwa sheria kuhakikisha Serikali ikihitaji backed up taarifa waweze kuzipata na njia moja wapo ni hizo server. Hukumbuki AZAM MEDIA server zao zilikua Mauritius baada ya takwa...
  9. M

    Nashangazwa sana na watu wa Pwani hasa Tanga wana mambo ya ajabu sana

    Keshapakwa kasumba huko atokako na sijui kama si kanisani. Anadharau wenyeji wake pengine yeye mwenyewe akienda chooni hata maji hayajui. SHENZ TAIP
  10. M

    Manguli wa uchambuzi waendelea kumpumulia Polepole, Majjid Mjengwa naye asema gesi ya Tanzania ni bei rahisi kuliko Cuba

    Mbona ameshindwa kuhoji BEN SAA NANE , na risasi za LISU au ripoti zilishatoka?
  11. M

    GE2025 Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa

    Naiwe hivyo ili watie AKILI na kukurupuka kwao. CHADEMA wamechanganyikiwa kijiondoa kushiriki huo wanaoita UCHAFUZI. Walidhani watabembelezwa bembelezwa na kudekezwa kama awamu ya MSOGA. Walijua wakiwa na backup ya kina WARIOBA na MAASKOFU basi Serikali shupavu ya JAMHURI YA MUUNGANO WA...
  12. M

    Haji Manara kurejea Simba, na Ahmed Ally kupandishwa cheo

    Haji asikubali mpaka alipwe advance angalau 20% ya mkataba. Gabachoti ni Janja janja sana huyo, unaweza ukaenda ukajikuta hatimizi ahafi.
  13. M

    Mafanikio ya simba sc kwa msimu huu

    Sio hizo namba tu, na namba za idadi ya magoli mliyotufunga kutoka 7 kwa mechi 2 msimu uliopita hadi magoli 4 tu tena kwa mechezo 3 kwa msimu huu ulioisha. Hii ni tremendous improvement.
  14. M

    Kuna timu imetoka pre season wachezaji wana vitambi

    Uto wakifanikiwa kuwafunga Madunduka magoli kuanzia 4, waweke hili BANGO. NGUNGU BOY lazima atimuliwe.
Back
Top Bottom