Wengine wanaweza kujiua, ukizingatia ni watu wazito, wakubwa wenye kuheshimika lakini fake IDs zikawadanganya na kufanya tofauti na heshima zao au nafasi zao au kuaminiwa kwao.
Saver ndogo zinakuwepo hapa hapa.
Kipindi cha Jiwe vyombo vya habari vyote ikiwemo mitandao ya kijamii walitakiwa ilitungiwa sheria kuhakikisha Serikali ikihitaji backed up taarifa waweze kuzipata na njia moja wapo ni hizo server.
Hukumbuki AZAM MEDIA server zao zilikua Mauritius baada ya takwa...
Naiwe hivyo ili watie AKILI na kukurupuka kwao.
CHADEMA wamechanganyikiwa kijiondoa kushiriki huo wanaoita UCHAFUZI.
Walidhani watabembelezwa bembelezwa na kudekezwa kama awamu ya MSOGA.
Walijua wakiwa na backup ya kina WARIOBA na MAASKOFU basi Serikali shupavu ya JAMHURI YA MUUNGANO WA...
Sio hizo namba tu, na namba za idadi ya magoli mliyotufunga kutoka 7 kwa mechi 2 msimu uliopita hadi magoli 4 tu tena kwa mechezo 3 kwa msimu huu ulioisha.
Hii ni tremendous improvement.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.