Angalia namba hizo ...alafu jilinganishe na mliowacheka😂😂 👇👇Hatukuwacheka kwa kuanzisha whatsapp Channel.
tuliwacheka kwa kuihesabu whatsapp Channel yenu mliyoianzisha kama moja ya mafanikio.
Hata sasa mnatuchekesha kwa kujiita giant afrika kisa kuwa namba tano kwenye rank za CAF.
Haha kwa hakika makolo mnatia huruma na kuhuzunisha.