Wazazi wenyewe ndio Hawa wafanya-ngono holela na kutiana mimba ovyo kutelekeza watoto bila uangalizi huku watoto wakijilea wenyewe mitaani?
Wazazi wenyewe ndio Hawa wapinga-ndoa na kuhamasishana kuzaliana ovyo bila mpangilio kama mende?
Wazazi wenyewe ndio hawa wanaotelekeza familia na kwenda...
Ungechambua bila kuegemea upande wote ningekuelewa ila wewe Kuna upande unashabikia
Kwenye vita yoyote majeruhi wa kwanza anayejeruhiwa vibaya na pande zote zinazopigana ni ukweli so huwezi kupata ukweli vitani kama unavyotaka kusema hapa
Vita hupiganwa Kwa propaganda mno kuliko uhalisia na...
Hasira za msukuma kuelekea uchagani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiwachukia nyie baadhi ya sukuma gang haimaanishi wachukiwe na kila mtu kama unavyotamani iwe
Acheni janja janja Mali nilizochuma kabla hatujaoana zinakuhusu Nini?
Tulizochuma pamoja ni sawa una haki,
Halafu kufua na maswala ya usafi ni kitu Gani? Anaajiriwa mtu wa kufanya yote hayo mbona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.