Walimu wanalengo kubwa sana kukuza elimu japo wazazi tunaona kama wanataka pesa mie mtoto wangu kila siku 500 ya homework ukupiga gharama ya karatasi na muda wa mwalimu wa ziada kusahihisha ni jambo la kujitoa sana.
wazazi tubadilike sio kulalamika
Wadau kwema
Toka waziri wa Tamisemi atoe Tangazo la kubadilisha mchepuo ya kidato cha nne ulifanya kazi siku moja tu na iligoma gafla kabla ya kumaliza kubadilisha baada ya hapo haikubali tena,wametoa no za simu +255 216 0210 ukipiga imefungiwa email hawajibu wakati wamesema mwisho wa kubadili...
Kila mtu akipewa pasipoti hvyo kumbuka Kuna watu sio watanzania wanataka mnooo itakuwa hatari kwa nchi, pia zingatia pasipoti maalum kwa wasafiri tu sio kila mtu awea nayo kama NIDA
Watanzania tumekuwa watu wa kulalamika kila kukicha ofisi za Serikali zinazotoa huduma mbaya bila kufuata utaratibu lakini lazima tuangalie nani alaumiwe,watanzania tuko zaidi ya milion 50 lakini wachache sana tunafunya mambo ya msingi bila kupelekeshwa.
Mfano vitambulisho vya NIDA walianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.