Muwe kwanza mnaelewa maana ya budget carrier na jinsi wanavyo-operate. Kama mzigo wako uliona ni mkubwa ungeenda kwa wengine uone muziki wake. Budget carrier maana yake ni kwamba zinapunguza mzigo ili zichukue mafuta mengi zaidi ya kuwezesha kufika maeneo mengine kwa siku moja. Mfano mzuri wa...
Nilibahatika kutembelea kijiji cha Hidodoma. Kijiji hiki kipo wilaya ya Mpwapwa mpaka na mwa wilaya ya Kilolo. Karibu yake ni wilaya ya Kilosa.
Pamoja na mambo kadhaa ambayo ni kawaida kwa vijiji vingi Tanzania hali niliyoikuta kuhusu ELimu na Afya inahitaji action mara moja.
Siku nilienda...
Si kweli kwamba Johnson hakujiingiza vita ya 1973. Baada ya mama kuzidiwa na waaarabu from south na Lebanoon pamoja na Syria on the north akatangaza wazi wazi kuwa analipua mtambo wa nuclear ili kila mmoja duniani afe. Kwa wakati huo walikuwa na missiles 8 mbili tu katika hizo zikiweza angamiza...
King90, Mache, Chache1, Rakeem; wenye kuhitaji seriously wameshafika na kununua portions mpaka kwa majirani zangu already. Nyie mnasubiria bei hapa JF.
Karibuni sana
Wajameni,
Nina heka 20 za shamba maeneo ya Vianzi karibu na Vikindu, Kisarawe Pwani. Ni moja ya maeneo yanaokua na kuendelezwa kwa kasi sana. Katika hizo nina mpango wa kuuza heka tano. Kama uko interested tafadhali nipigie number ifuatayo: 0765800160. Au ni-PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.