Mheshimiwa Waziri hapa sijakuelewa vizuri.
Unasema hakuna chama cha siasa kina Thamani ya damu ya Mtanzania. Hapa unamaanisha nini mkuu? Kwamba Ktk vyama kuna kutoana kafara au kuuwana??
Asante mkuu.
Ntuzu Kiongozi umesema ukweli kabisa. Chelsea ndio habari ya mjini kwa sasa. Ktk michezo 8 iliyobaki Chelsea akipoteza ata mmoja tu tena ktk hii ya mwanzo sio hiyo ya mwishoni tutaona namna huu Uzi wetu utakavyo vamiwa na hawa wapinzani wetu!
Kwa kawaida ya habari Mbwa akimuuma mtu, hiyo sio...
Mkuu Nguruvi3 hapa hakuna la Maana! Huyo anaetetewa na Hawa wateteaji Hawa lolote!
Wangekua wanajadili Huku hisia zao za udini zikiwa kando Nafikiri Karibu Watu wengi wangejumuika nasi! Lakini Watu wameogopa kutokana na Hawa wanaojiita wana madrasa kutoa lugha zao mbaya!
Ni vema kumuita aje awatulize! Kwani nyie hapa mnamtetea nani Kama sio huyo Mzee Ms? Namna mnavyomtetea kwa lugha chafu ndio ustaraabu Wa madrasa huo? Na Kwanini Mzee Ms asije kuweka Hali ya mjadala ukawa Wa lugha nzuri Kama kweli mnapenda ustaraabu? Kwa jinsi mnavyotoa lugha mbovu ni kwamba mna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.