Recent content by makuka_x

  1. M

    Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Mie pia nasubilia napenda sana biashara hiyo
  2. M

    Nahitaji mawakala wa kuagiza nguo toka nje ya nchi

    Kuna mtu yuko china kazi yake ni kukuletea utakacho from china ikiwepo na nguo Kama una afiki ni pm nikupe namba yake
  3. M

    Clouds Media watozwa faini

    Hahahaaaa hii Redio hata mie na utata nao yaani wale wanaume sio wote wazima kabisa....
  4. M

    Nauza Blackberry curve kwa laki moja Tu

    Nzima haina tatizo rangi ya purple na cover yake Ni PM Anae taka Niko dar.
  5. M

    Natafuta iphone 5s

    Ninayo dola 700. Niko serious!!!!
  6. M

    Mafuta halisi ya alizeti kwa bei ya jumla na rejareja.

    ITV karibu main road?? Nahitaji moja
  7. M

    Iphone 5s copy inauzwa 250,000

    Mbona bei ndogo hivo??? Ina shida gani??
  8. M

    Nimedukua simu ya mke wangu, Simu zetu zina siri nzito, nakufa mimi

    Ehe endelea !!! Ila Mi hata sifagilii hizo application dunia hii ukishakuta mambo Kama hayo unafanyaje Kama si kujiumiza na kumsamehe na kubaki na kidonda milele😊😊😊
  9. M

    Nimedukua simu ya mke wangu, Simu zetu zina siri nzito, nakufa mimi

    Dunia pana, nilijuga mwanamke akishaolewa hutulia.....
  10. M

    Bank yenye riba nafuu

    Jalibu Amana bank.tandamti Kariakoo.
  11. M

    House for sale at Ngaramtoni Arusha

    Atakae soma amjulishe na mwingine
  12. M

    House for sale at Ngaramtoni Arusha

    Ina floor moja na vyumba 3. Vyumba 2 ni master sebure na pa kulia na jiko kubwa, choo cha jumuia. Balcon 2, fensi kubwa ya kupark hata gari 4 na garden. Bie mil Mia mbili hamsini na tano. Hakuna dalari mawasiliano 0765033330
  13. M

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Alikuwa ana Act jamani....
Back
Top Bottom