Tuna ombi wahariri wa muulize raise ,kwa nini wamezuia mafao ya ppf an nnsf wakati ni jasho letu wanyonge na maskini ambalo lingitusaifia kujiendekeza Kimaisha especially kipindi hiko ambacho watu hatuna kaxi
Tatizo kubwa ni kwa hawa mabinti wanatamaa Sana,kila kitu kwao wanataka Pesa sasa MTU unaona bora umkomoe umle Tigo na yy kwa kuwa shida take in Pesa anaachia tuu bila kinyongo without to know affects
Hizo ni haki za watu inatakiwa watu wapewe tu Pesa zao ,hao ppf in km Ben k tuu MTU ukitaka hela yako unachukua masharti ya miaka 55 wameongea naungu kmbi nachamnu wataishi zaidi ya miaka 55 au,that is non sense huo in ukandamizaji wa haki za binadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.