Recent content by Makox

  1. Makox

    JamiiForums Tanzania KAZI KAZI KAZI KAZI

    Natafuta mabint wazuri wa kuunza baa. Wawe na sifa ziguatazo; 1. Mchangamfu. 2. Awe mnywaji. 3. Awe tayari kuishi Songea (Ruvuma) 4. Awe tayari Kufanya kazi kwa kujisimamia kwa mkataba maalumu kadri ya makubaliano yatakayofikiwa 5. Awe na barua ya utambulisho. 6. Awe na barua au...
  2. Makox

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Njoo inbox
  3. Makox

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Karibu mkuu
  4. Makox

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mkuu vipi ulishapata wa kubadirishana?
  5. Makox

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO RUVUMA NIJE MOROGORO, IRINGA, PWANI, AU MBEYA HALMASHAURI YOYOTE ILE. ELIMU SEKONDARI
  6. Makox

    JamiiForums Tanzania Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

    Naona kama wamevalia sale za uokoaji eeh!
  7. Makox

    JamiiForums Tanzania Al Hilal anapoenda kutukung'uta mechi ijayo, naomba mtakapomtimua Gamondi timueni na wachezaji wafuatao

    Hata mie Naamini msemavyo wananchi. Ila siamini kama Tabora ni ngumu kuliko Al Hilal na Azam
  8. Makox

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa shukran kwa WanaJamiiForums

    Kweli Wabarikuwe sana, waliwaza kitu kisichoweza kupoteza ubora kamwe
  9. Makox

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa shukran kwa WanaJamiiForums

    Shukran sana mkuu
  10. Makox

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa shukran kwa WanaJamiiForums

    HABARI WAKUU WANGU WA JAMII FORUM! Awali ya yote natumia fursa hii KUWASHUKURU sana kwa maoni yenu mliyokuwa mkinipatia tangu nilipoweka post ya kutengenezewa zengwe na mkuu wa shule na mzazi wa mwanafunzi mpaka nikafukuzwa kazi hivyo kuwaomba ushauri wa namna yoyote ile. Kwa post hii ya Leo...
  11. Makox

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kuwabeza wanaojinyonga? Ni kwamba ni wadhaifu au basi tu hatuwezi vaa viatu vyao?

    Ni Vizuri kuwaombea tu mim naona. Hakuna mtu anapenda kujinyonga bila kupatwa changamoto ngumu. Ni wakati ubongo unaacha kufanya kazi na hisia tu zinautawala mwili. Matatizo ni mengi sana wakuu basi tu!
  12. Makox

    JamiiForums Tanzania Hili suala la interview ya sekretarieti inanichanganya

    Naamini utapata majibu ya kuridhisha. Mungu awasimamie pia kwa vyovyote itakavyokuwa.
Back
Top Bottom