Natafuta mabint wazuri wa kuunza baa.
Wawe na sifa ziguatazo;
1. Mchangamfu.
2. Awe mnywaji.
3. Awe tayari kuishi Songea (Ruvuma)
4. Awe tayari Kufanya kazi kwa kujisimamia kwa mkataba maalumu kadri ya makubaliano yatakayofikiwa
5. Awe na barua ya utambulisho.
6. Awe na barua au...
HABARI WAKUU WANGU WA JAMII FORUM!
Awali ya yote natumia fursa hii KUWASHUKURU sana kwa maoni yenu mliyokuwa mkinipatia tangu nilipoweka post ya kutengenezewa zengwe na mkuu wa shule na mzazi wa mwanafunzi mpaka nikafukuzwa kazi hivyo kuwaomba ushauri wa namna yoyote ile.
Kwa post hii ya Leo...
Ni Vizuri kuwaombea tu mim naona. Hakuna mtu anapenda kujinyonga bila kupatwa changamoto ngumu. Ni wakati ubongo unaacha kufanya kazi na hisia tu zinautawala mwili. Matatizo ni mengi sana wakuu basi tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.