Recent content by Makox

  1. Makox

    KAZI KAZI KAZI KAZI

    Natafuta mabint wazuri wa kuunza baa. Wawe na sifa ziguatazo; 1. Mchangamfu. 2. Awe mnywaji. 3. Awe tayari kuishi Songea (Ruvuma) 4. Awe tayari Kufanya kazi kwa kujisimamia kwa mkataba maalumu kadri ya makubaliano yatakayofikiwa 5. Awe na barua ya utambulisho. 6. Awe na barua au...
  2. Makox

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mkuu vipi ulishapata wa kubadirishana?
  3. Makox

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO RUVUMA NIJE MOROGORO, IRINGA, PWANI, AU MBEYA HALMASHAURI YOYOTE ILE. ELIMU SEKONDARI
  4. Makox

    Al Hilal anapoenda kutukung'uta mechi ijayo, naomba mtakapomtimua Gamondi timueni na wachezaji wafuatao

    Hata mie Naamini msemavyo wananchi. Ila siamini kama Tabora ni ngumu kuliko Al Hilal na Azam
  5. Makox

    Ujumbe wa shukran kwa WanaJamiiForums

    Kweli Wabarikuwe sana, waliwaza kitu kisichoweza kupoteza ubora kamwe
  6. Makox

    Ujumbe wa shukran kwa WanaJamiiForums

    HABARI WAKUU WANGU WA JAMII FORUM! Awali ya yote natumia fursa hii KUWASHUKURU sana kwa maoni yenu mliyokuwa mkinipatia tangu nilipoweka post ya kutengenezewa zengwe na mkuu wa shule na mzazi wa mwanafunzi mpaka nikafukuzwa kazi hivyo kuwaomba ushauri wa namna yoyote ile. Kwa post hii ya Leo...
  7. Makox

    Je, ni sahihi kuwabeza wanaojinyonga? Ni kwamba ni wadhaifu au basi tu hatuwezi vaa viatu vyao?

    Ni Vizuri kuwaombea tu mim naona. Hakuna mtu anapenda kujinyonga bila kupatwa changamoto ngumu. Ni wakati ubongo unaacha kufanya kazi na hisia tu zinautawala mwili. Matatizo ni mengi sana wakuu basi tu!
  8. Makox

    Hili suala la interview ya sekretarieti inanichanganya

    Naamini utapata majibu ya kuridhisha. Mungu awasimamie pia kwa vyovyote itakavyokuwa.
Back
Top Bottom