Recent content by MAKOWO

  1. M

    Mgombea mwenza kurejea CUF

    Mhuuuu......fix
  2. M

    Clouds tv waonesha vita ya Libya

    Wanawaonyesha namna ambavyo nchi ikikosa amani hali inavyokuwaga mbaya.
  3. M

    Clouds tv waonesha vita ya Libya

    Hakuna hicho kitu wanawaonyesha namna
  4. M

    Hagafilo college of development management

    Sifa D tatu za sayansi ikiwemo biolojia au Agriculture (kilimo)
  5. M

    Hagafilo college of development management

    Karbu Chuo cha Mifugo Hagafilo upate elimu bora kuhusu Tiba na Uzalishaji wa mifugo kwa ngazi Astashahada(CHETI) Stashahada (DIPLOMA) piga 0762940676 kwa mawasiliano
  6. M

    Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

    Bora alipeleka maendeleo kwao kuliko angepeleka pesa nje ya nchi
  7. M

    Mnyika amtetea vikali Dr.Slaa

    Ndo tabu ya watu wengi wa UKAWA mtu akikosoa tuuu???? Kanunuliwa ivi hamtaki kukosolewa hata kama mambo yanaharibika? Nyie watu vipiiiiiiii?
  8. M

    Saed Kubenea: Mkinichagua kuwa mbunge, nitawataja waliopata mgao wa pesa za ESCROW kupitia Stanbic

    Mbona LOWASA alisema akikatwa ccm atamleta balali kakatwa na hakuna barali. Izi ahadi nazo mbona znatushangaza
  9. M

    Saed Kubenea: Mkinichagua kuwa mbunge, nitawataja waliopata mgao wa pesa za ESCROW kupitia Stanbic

    Mhuu....mpaka tukuchagueee????? Je ucpo chaguliwa hutawataja? Basiii huna nia njema na taifa hili kiukweli were tutajie kama una nia njema
  10. M

    Warioba: Apinga kauli zinazotolewa na Lowassa pamoja na Sumaye kwenye mikutano yao ya kampeni

    Ivi nyie mie nashndwa kuwaelewa Watu wengne Leo mnamsifia makonda eti alifanya kazi nzuri ivi akili zenu ziko sawa? Ukweli ndo huo Leo hii sumaye anasema CCM wezi wakati kawa waziri kwa miaka kumi je yeye kama yeye aliiba sh.ngapi atwambie basiiiii
  11. M

    Hivi, pale Mgombea anapogawa fedha kwenye kampeni sio rushwa?

    Yule bado ni waziri ujenzi bhanaaaaa
Back
Top Bottom