Kwa maelezo yako umekosea kutoorodhesha vifaa vya kazi,hapo najuwa hukosi dodoki,jiwe la kusugulia miguu,na shampoo hata kama una kipara.Sema mali sana kuwa msafi,hongera mkuu.
Wewe ndiyo uache ujinga wako,kwanini hutaki kuamini kama marekani hawezi pigana bila usaidizi?Wewe ndiyo unabwabwaja ovyo ndiyo maana kinywa chako kiko wazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.