Recent content by makoma25

  1. makoma25

    Wenye uzoefu na biashara ya t shirt z manga.msaada

    bei inakuwaje,bei ya jumla na pamoja na usafili
  2. makoma25

    Wenye uzoefu na biashara ya t shirt z manga.msaada

    Habari zenu wakuu..nipo mwanza,nna laki mbili na nusu nataka kuanzisha biashara ya kuuza t shirt za manga zenye ku printiwa log tofauti,,wenye uzoefu na hii kazi ushauri wenu plz..
  3. makoma25

    Hivi wanaotoa elimu za Ujasiriamali wao wametajirika?

    hutakiwi kufikilia wao wanautajili kias gan,tumia wanachokuelekeza kufanikisha maisha yako,
  4. makoma25

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Pengne unachokisema ni sahihi kwa kufikilia kwako,lakin ili nchi hii iendlee lazm watu wa type yako ya kushabikia siasa bila kufikilia maendleo hakuna kitu mtafanya,.
  5. makoma25

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Ucfikilie sheria,fikilia tufanye non nchi iendlee,co kuwa mnatupigia kelele kwenye majukwaa alaf hakuna kinachofanyika....
  6. makoma25

    Watu aina ya Tundu Lissu ni Matokeo ya Huruma ya Kikwete

    Mmarekani co mtu mzur,anajikuta kuwasaidia watu weusi ila kuna kitu anataka... Alienda kwa Gaddafi akawachukua watu kwenda kuwasomesha,ila lengo lake halikuwa hilo,lengo ni kumpindua Gaddafi, so usishtuke na marekani.huyu ni kam mbwa mwitu mwenye sura ya kondoo..nnamashaka na tundu lisu na hao...
  7. makoma25

    Watu aina ya Tundu Lissu ni Matokeo ya Huruma ya Kikwete

    Ifike mahali watanzania tuwe na ufikili mkubwa,wengi wanasema JPM dikteta lakin mnasahau kuwa hata kwa Gaddafi watu walilalamika kama sisi leo tunavyolalamika ila sas wanakiona cha moto.sas na sisi tu subili tujionee hya tunayoyasema sas tuje kuyajutia baadae..
  8. makoma25

    Watu aina ya Tundu Lissu ni Matokeo ya Huruma ya Kikwete

    Tusiipende demokrasia wakati hatuwezi kuiiishi..think like a man
  9. makoma25

    Je, Lissu anajijenga ili kugombea Urais 2020?

    Hata Huyo lissu bado hafai,kung'ang'ana na ya wengine wakati singida taabu tupu.huyu hatufai hata kidogo.coz hata akiwa rais atakuwa anafuatilia ya afrika mashariki ya Tanzania atayasau..
  10. makoma25

    Wanawake Shtukeni

    Ila kweli.mshituke maan mtakuj kujikuta mmebaki makapi na mtakosa wa kuwaoa
Back
Top Bottom