Recent content by maklerine

  1. M

    Nahitaji mtu anayeweza kusoma location kwa kutumia namba ya simu

    Asante mkuu.. tayar nlifanya ivo jana kuna jamaa alinishauri
  2. M

    Nahitaji mtu anayeweza kusoma location kwa kutumia namba ya simu

    Hahahaha hapana tunaaminiana asilimia zote
  3. M

    Nahitaji mtu anayeweza kusoma location kwa kutumia namba ya simu

    Wala sio mapenzi ndugu.. ni shida nyingne japo nmeshapata msaada
  4. M

    Nahitaji mtu anayeweza kusoma location kwa kutumia namba ya simu

    Habarini, natafuta mtu anayeweza kusoma location ya mtu kwa kutumia namba ya simu nina shida ya haraka, ntamlipa.
  5. M

    Pita hapa / muhimu

    Habarini ... nauliza kama kuna mtu anaweza kusoma location ya mtu kwa kutumia namba ya simu accoment hapa fasta.. nna shida ya haraka na ntamlipa
  6. M

    Sitosahau: Tuliowahi kukimbia kazi za kubeba beseni na kuzitembeza mitaani tukutane hapa

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  7. M

    TCRA wekeni hii kuzuia mawakala wanaosajilia watu namba kwa wizi

    Jaman jana tu apa alipita dada mmoja eti ni wakala anasajil line kwa alama za vidole na kitambulisho ni chake. Sasa kwa mantiki hyo atasajil line ngap kwa kitambulisho chake na hii imekaaje maana anapita majumbani
  8. M

    Nafasi ya kazi personal assistant

    Mi tayar Mkuu nimekuja dm
  9. M

    Kuna shindano lolote labda linaloendelea la wanawake wa mijini kufuga nywele sehemu za siri kwa fujo?

    wewe uliyeshuhudia tafadhali tuletee ushahidi tena wa mikoa tofautitofauti
  10. M

    Fursa wahanga wa ajira

    hehehehehee...eti askofu jamani nyie mna utani na watu wa Mungu eeh??
  11. M

    Kondomu nzuri za kunogesha tendo

    usibaki kuskia tuu paka ushuhudie
Back
Top Bottom