Malipo yapoje?
Tulia uandike kwa utulivu boss, unaandika kama vile unawahi papuchi sehemu.ATTENTION
***************
MIGAMBO YA JIJI WANAOTUMWA KUKAMATA WATU WANAODONDOSHA TAKA POSTA,M/MMOJA,MWENGE NA KWINGINEKO,WAO KUSHIRIKIANA NA MABOSI WAO MARA WAKAMATAPO WAHUSIKA HIWAKAMUA FEDHA,KI UHALISIA FINE ILIPASWA KUWA 50,000/-,LAKINI WAO HUKAMUA KATI 40,000/- NA 30,000/- NA BILA AIBU YOYOTE PESA ZOTE WANAZOKUSANYA HAWATOI RISITI YOYOTE NA HUGAWANA FEDHA ZOTE KIFISADI,HIVYO JIJO NA MAMLAKA HUSIKA HIKOSA PATO NONO LINALOKARIBIA MIL 3-5 KWA SIKU.
::WAHUSIKA WALITAZAME HILI.
::WAJANJA WANAZIDUNDA TU HIZI HELA KOLA SIKU.
Hao jamaa wanafanya uhuni sana, pale anatoglo kwakweli pamegeuka pango la wanyang'anyi, Mkuu wa Mkoa aliangalie hili upya.ATTENTION
***************
MIGAMBO YA JIJI WANAOTUMWA KUKAMATA WATU WANAODONDOSHA TAKA POSTA,M/MMOJA,MWENGE NA KWINGINEKO,WAO KUSHIRIKIANA NA MABOSI WAO MARA WAKAMATAPO WAHUSIKA HIWAKAMUA FEDHA,KI UHALISIA FINE ILIPASWA KUWA 50,000/-,LAKINI WAO HUKAMUA KATI 40,000/- NA 30,000/- NA BILA AIBU YOYOTE PESA ZOTE WANAZOKUSANYA HAWATOI RISITI YOYOTE NA HUGAWANA FEDHA ZOTE KIFISADI,HIVYO JIJO NA MAMLAKA HUSIKA HIKOSA PATO NONO LINALOKARIBIA MIL 3-5 KWA SIKU.
::WAHUSIKA WALITAZAME HILI.
::WAJANJA WANAZIDUNDA TU HIZI HELA KOLA SIKU.
Fika kituo cha polisi kilicho karibu jieleze endapo unakesi ya msingi utafungua jalada na maafisa polisi kitengo cyber crime watakupa support.Habarini, natafuta mtu anayeweza kusoma location ya mtu kwa kutumia namba ya simu nina shida ya haraka, ntamlipa.
Pongezi kwa serikali ya awamu ya tano, inachapa kazi kweli kweli. CCM "hoye"Hao jamaa wanafanya uhuni sana, pale anatoglo kwakweli pamegeuka pango la wanyang'anyi, Mkuu wa Mkoa aliangalie hili upya.
Hao vijana wanaokamata watu wengine ni vijana waliokosa ajira na wanapewa asilimia 20 ya fedha za faini.
Haya mapenzi haya jamaniiiii