Hivi wabunge wanakatwa kodi kwenye mishahara yao? niliwahi kusikia hawakatwi... kama ndo hivyo basi hawawezikujua madhara ya mwananchi wa kawaida kukamuliwa kodi namna hii bila kulishwa!!!
Hapa naona jazba tu na ujibuji hoja ki-taarabutaarabu tu. Tamko la chama litakaaje kimipashomipasho hivi jamani! mbona CCM kuna hazina kubwa sana ya wasomi kwanini wasipewe nafasi??????? rubbish! Nachukizwa sana na haibu hizi kwa chama kongwe. kha! haya yanatoka wapi?
Sasa anayeng'oa kucha na meno ni CHADEMA au CCM? hapa munanichanganya. wengine wanasema ni CCM wewe hapa kama unamaanisha ni CHADEMA. Tuwekeeni wazi jamani. Kuna watu wametajwa kwa majina Serikalini kwamba wanhusika na ushetani huu lakini sijasikia mtu wa CHADEMA akitajwa openly kama...
Ndo haya matatizo kazungumzia DR. A. P; Si unavyotegemea ndo jibu sahihi. huyu si mwandishi wa habari ameelezea mtazamo wake. Hayo unayosema hakutaka kuyasema sasa unalazizisha azungumze unachofikiria kichwani mwako!! Jitathmini usijekuwa na ugonjwa mojawapo hapo. au wewe ndo zile ID 10 za...
Nashukuru sana Dr. A. Paurine kwa maelezo yako. Kuna tofauti kubwa sana kati ya LUKOSI anavyojieleza na niwezavyo kuona unavyopanga hoja. You are not in UK by chance, you deserve it. Siku nilisikitika sana niliposoma hapa post ya LUKOSI akieleza kwamba alihangaikia CHADEMA UK nikawa najiuliza...
Chuo kikuu bora ni MUM kiko Tanesco pale Moroogoro stendi ya mabasi makubwa, MSAMVU, kama unaelekea Dodoma. Wafunzi kujifunika hadi uso kunaruhusiwa, ilimu ya dini imetiliwa mkazo na ina walumu wachache kupunguza overcrowding. Hakuna mgomo wala hawawaandai vinara wa migomo. Ukitaka mke/memwema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.