Jambo moja kubwa ni kuwa Chibu anakili na kutambua kuwa hali ya nchi ni tete. Hofu imetanda na yeye imemkumba hivo amechagua kukaa kimya (because he is a coward).
Hao wote uliowanukuu wamekimbilia kushambulia makala bila kuangalia na kuchambua ukweli wa kile kilichoandikwa. Bila kuuma maneno mwandishi kaandika ukweli mtupu kuhusu Nchi yangu pendwa
Walitakiwa kuonyesha mapungufu yalioandikwa kwenye andishi lile. Na si vinginevo.
Usitake kutuaminisha kuwa kuwa mwafrika au mtanzania ni ujinga; wewe unafaidika nini kwa watu kuwa na maisha magumu??? Ungekuwa umeenda shule ningekuelimisha kidogo, kwa sasa tafuta maana ya Domino effect na Boomerang. Maana utakayoipata inaonekana mtaani,
Hakika alishinda, lakini haikuwa kwa kishindo kama mwanzo, ninahisi haikuishia pale aliyefuata zikapungua zaidi ikiwa hali hii ikaendelea zaidi anaweza akashinda kwa asilimia 41(kwa kuwa ana tume na jeshi).
Daah nimeamini kitanda usichokilalia hauwezi wajua kunguni wake, it is easy said than done. Umewahi kulima wewe? Unaijua unafahamu changamoto ya miundombinu hasa barabara za huko mashambani, kunasehemu nilifika na kukuta gunia la Viazi tsh 7000 kasheshe ikawa kuvitoa huko wacha vioze...
Hakika dawa ya deni ni kulipa sikatai,
Tufundishe na msemo mwingine basi juu ya hili la watu kupandishwa madaraja na kuishia kumiliki barua tu kwa zaidi ya mwaka sasa
Kazi kweli kweli, watu hawajakataa kulipa deni ndugu, wanacholalamika ni kwamba mkataba wa kukatwa asilimia 7 au nane umevunjwa. No wonder utawala wa sheria umetupwa shimoni kila upande
Jambo la kustaajabisha katika hao wanyonge walimu hawamo, nani asiyejua hali ngumu ya maisha ya walimu wa nchi hii? Lakini nao pia wanasomeshwa namba kwa spidi ya ajabu, wamepandishwa madaraja lakini wameishia kumiliki barua za mishahara mipya bila mabadiliko kwenye akaunti zao na sasa ni zaidi...
Tatizo lako unachangia usicho kijua, mada inahusu makato makubwa yaani kutoka asilimia 7 hadi 15 ilioanza mwezi huu, ni tofauti na jambo unaloshabikia wewe la watu kutotaka kulipa mkopo wao. Shame on you kwa kukurupukia usiyoyajua.
Iran wapo vizuri kijeshi kwa sasa. Mchangiaji mmoja anawapaisha Israel kwa kuwa na Arrow 3 ambayo range yake ni kilomita 100 tu
( Arrow 3 should be able to intercept ballistic missiles, especially those carrying weapons of mass destruction , [18] at altitudes of over 100 km (62 mi), [19] and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.