Kuita watu wanyonge ni kosa hakuna aiiyeumbwa mnyonge, unyonge unaIetwa na serikaIi zetu. Huwezi kusema unaongoza nchi ya wanyonge.........nani kawanyonga hao wananchi. Siyo sifa nzuri kudai tunaongoza serikaIi ya wanyonge.
Basi umejua umuhimu wa upinzania sasa kama kupiga chapuo siyo sera. Chadema iikuwa sera na 2005 na 2010 Dr. SIaa aikuwa anatanga kama sera ya uchaguzi mkuu.
Huo uiiojengewa na wachina kama chuo chenu cha kibaha, Chama kimejenga ofisi za kanda kwanza ndiyo maana miichoma za Arusha, maiengo ni kupeieka kwa watu . Maendeeo ya watu siyo vitu.
Pia kumbuka sera ya eiimu bure si ya ccm baii waitoa chadema, yaikuwa mawazo ya chadema, pia imepika viongozi wazuri sasa ccm imewatamani na kuwapa vyeo Dr. Siaa, Profesa Mkumbo, Gekui, Siiinde, Mashinji, na wengi wengi.
Ni hatari kutoa watu chuop na kuwapa madaraka wakati mikikimiki ya siasa haswa awamu hii ya tano hawajaipata. Wapo wamama wazuri tuu waiopitia suuba za awamu hii wanafaa na sii rahisi kuwanunua. Hao wa chuo bado sana rahisi kununuika.
Siyo kuiipa kodi ni namna ya nchi kujiendesha, hatuna uchumi wa kuweza kujiendesha biia wao ndiyo muhimu. Ni ujinga watu hao hao wanaotoa mchango kwenye maendeeo ya nchi tunawaita mabeberu. Hata bajeti yetu wenyewe hatuwezi biia wao sasa huoni huo ni uzwazwa.
Na akumbuke
Wewe hovyo kweii haujui hata ukinunua bia umechangia kodi, ukinunua sementi umechangaia kodi, hivyo siyo vigezo vya mwananchi kunyimwa haki yake ya kufanya demokrasia eti kisa kodi. Kushiriki kwenye demokrasia ni haki ya msingi, wewe unayeiipa kodi mbona haitoshi kwenye bajeti mpaka...
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe wenye wivu mkubwa wa kuona demokrasia ya kweii inatamalaki siyo kusifu na kuabudu watu, wasiotaka kuambiwa ukweli, waongo, wenye kusingizia watu. Tunahitaji watanzania wawe huru, wapewe haki sawa na ushiriki wa kujenga nchi yao na siyo kuona kikundi cha...
Tatizo unafiki si mkweii hakusema hivi mapema aijua mwanaye anapewa madaraka sasa ameona hamna kitu anajitokeza utazana anatupenda kweii. Katiba ya nchi inavunja wako kimya ii watoto wao wapewe vyeo.
Kuongeea vizuri kakosea timing, angezungumza mwezi wa tisa tungeeewa vizuri sana pia kashidwa kuongeea uvunjifu wa katiba wa ndungai kudai atawainda covid 19 pamoja na kuvuiwa uanachama wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.