Ukiwa nje utakamatwa na kupewa kesi zisizo na dhamana.kama unakumbuka spika aliambiwa afukuze wabunge ili wasemee nje awashughulikie .alisema mwenye muhimili ulijichimbia zaidiSio mada ya kitoto kamanda, kwani mpaka uingie bungeni ndio uwe na hoja zenye mashiko?