Acha kulia,chadema hiyo hiyo inapata milioni 900 kila mwezi toka serikalini inafanyia nini?What about the ruling party. Kila asst waliyo nayo ni asset ya serikali. Serikali ya china inawezaje kyijengea chama cha siasa ofisi? Asset nyingine zote zilikuwa mali ya serikali wakati wa chama kimoja ama zilitokana na hizo. So shut up!
Cuf wana ofisi yao,NCCR wana ofisi yao hata TLP wana ofisi,chadema wezi tu