Wacha kutokwa na povu wew km umekula maharage yap vileee, ukwel lazma usemwe mwenye kaya n mbaguz kuliko ww ulivo mnafik na roho yako kubwa km uso wako mm n Christian lakn hil linaniuma
Povu linakutoka mekula maharage ya wap ww ngoja tumwite ngwajima aje akuombee uyaharishe hayo maharage. Kila yanga akishinda amehonga mashabk wa simba km man u fujo tupu
Wewe mwandish unaharisha umekuja na kinyes chako humu ndo maana huna takwimu za kuelewka km serikal yenu somen achen uvuv jinga ww husom takwim unakurupulka km umekula maharage ya kuchacha
Upo arusha au lumumba kwa mzee tutupa maana jasho linakutoka mpaka linanuka, uandish wako umejaa majungu mengiiii yasiyo na tija chapakaz acha kupayukapayuka km chura wewe
Wewe n mchumi au mwanasiasa km n mchum kwel namashaka sana na wachumi wa nchi hii na ndo maana taifa linafka hapa tulipo rud advance ukakuze akil yako ww sio mchum bal umepewa degree au master ya uchum
Vijana wa ccm mnashida sana mmejawa naubish hata kwenye mambo ya msing nawac sana na vizaz vyenu km vikiwa km nyinyi tz itaendelea kuwa masikin daima na zile nyimbo zenu za maendeleo mnayowaahid wanyonge wa tz n hadith
Hiv ww ni zuzu au zimw unapayukapayuka tu km mlev wa gongo kuwa makin tafit zako cc sio walev km ww lazma mkope sana dola kuziba pengo la pesa mtakazozikosa kwenye sector ya utalii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.