I beg to differ democracy haina tatizo Kama ukifuata principle zake, tatizo ni kwamba sisi watu weusi hatujaielewa vizuri, speaking about ujerumani Hitler sidhani Kama yeye ndo kaijenga ujerumani coz baada ya Second World War uchumi wa ujerumani ulialibiwa vibaya mno ikabidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.