hapana ndugu.kuvunja katiba ndio vyanzo vyote ya haya.yaani mambo ni mengi.nikulize swali.Yeye ndiye anafaa kuisema selikali ila wenzake waitwe kwenye kamati'sasa hayo ndio makosa.unajua ukiwa kiongozi kama spika lazima uwe na uwanja wa democrasia.sasa yeye hana si ndani ya chama au inje ya chama.
kiukweli spika hana kosa kuishauri selikali ndio wajibu wake na ilitakiwa iwe ivyo tangu mwanzo.sasa hoja iko hapa wenzako waliosema uliwaita kwenye kamati ya maadili.sasa huu uzalendo kautoa wapi ghafula?
wewe ni mpuuzi sana.yawezekana una asili za kike.sisi wanaume hatuna ukatili wa namna hiyo.na hii ni tangu enzi za adamu na mpaka sasa.wanaume sisi ni wavumilivu,tunayabeba yote mabaya,machungu,kwa nini sisi ndio chanzo cha uhai.Hivyo sisi tunahuruma sana.sasa kwa hiyo tabia uliyo nayo wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.