Recent content by makaptula

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

    Tunaomba kujua majukumu ya mbunge na majukumu ya mkuu wa wilaya tafadhali
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kanisa katoliki lijitafakari

    Well said
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tunauza mayai ya bata mzinga

    Tunauza mayai ya bata mzinga. Bei zetu: Bei ya yai moja Tsh 4,000/=. Trey moja 120,000/= Namba za mawasiliano: 0762 355 114. Number za WhatsApp: 0762 355 114 Mahali tulipo: Mkoa wa Tanga, Wilaya Tanga Mjini mtaa wa Pongwe Kusini Karibuni sana
  4. M

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Adhabu waliyopewa wanafunzi wanaoshukiwa kuchoma shule sio sahihi kwa 100%

    Haya ni natokeo yakuendekeza uzembe mashuleni. Kufutwa kwa viboko ni kosa kubwa sana mashuleni.
  5. M

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Adhabu waliyopewa wanafunzi wanaoshukiwa kuchoma shule sio sahihi kwa 100%

    Hizo taratibu mnazijua nyie. Tushawachapa viboko. Tuchawasimamisha masomo kwa muda na wakirudi warudi na hizo 200k . Kama hamjatizika nendeni kunakofaa kutafuta haki mkazitafute
  6. M

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Adhabu waliyopewa wanafunzi wanaoshukiwa kuchoma shule sio sahihi kwa 100%

    Pumba pumba na kiingereza chako cha chekechea
  7. M

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Adhabu waliyopewa wanafunzi wanaoshukiwa kuchoma shule sio sahihi kwa 100%

    Taratibu za sheria zipi. Sheria zenyewe zakucopy na kupest kutoka kwa mkoloni. Madogo ile azabu ni ndogo sana. Nafikiri wote watupwe jena mienzi sita kwanza wakitoka huko wapate akili
  8. M

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Adhabu waliyopewa wanafunzi wanaoshukiwa kuchoma shule sio sahihi kwa 100%

    Azabu ndogo sana hiyo. Nashangaa mkuu wa mkoa anatoa azabu ndogo namna ile
  9. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kigwangalla: Nikikukuta unaua Twiga nakuua

    Namuunga mkono. Kama hawataki kuuwawa wasiende wauwa hao wanyama pori.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji pilipili kichaa

    Weka number za simu. Wapatikana mkoa gani na wanunua kwa bei gani
  11. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli anatosha, atawale muda mrefu

    Magunga mkono hojaa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Sitarajii kuikana injili takatifu dhidi ya hadhi ya Bunge

    Kudaiwa hata Tz inadaiwa. Mo mwenyewe ni mdaiwa sembuse lema
  13. M

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vya kuku kuchi, bata aina ya pekin, Bata mzinga , Bata maji , bata bukin Na Indian Runner wanapatikana

    Mkubwa uko sawa sawa kabisa. Lakini inategemeana na bizaa zenyewe. Kwa mfano ukianza na kuchi kuhusu bei inategemeana na ubora wa kuku mwenyewe. So ni vyema kama mtu yuko interested then anatumiwa picha za koo za kuchi na bei zake. Vile vile kwa bata , hapo kuna bata wa koo mbali mbali. And...
Back
Top Bottom