Nitawatajaje wakati Magufuli anawafahamu.Kweli???
Ww unafikiri kwakutumia nn asee, maana naona fikra zako kama vile zimefika mwisho mbele unaona giza2Mpaka 2050 inafaaa..
Hacha waendelee kujipendekeza lakini hawatovuna chochote zaidi ya kuendelea kupiga makofi2Njaa mbaya .had ufahamu unakutoka
Jifunze kuheshimu serikali....Siri Kali...cheza mbAli na wajomba..*"Erick Kabendera is not the only victim of Mage's reign of terror. He is one of an increasingly long list of opposition leaders and activists, journalists, bloggers, and civic leaders who have been targeted due to their political opinions."
Us or Else....
Naanza hilo darasa kesho pale magogoni.Jifunze kuheshimu serikali....Siri Kali...cheza mbAli na wajomba..