Fanya hayo ya Misri Almeida. Wewe umeshindwa kazi! Na kama kivuli ni wewe na Wakora wengine wanaojidai kuingia Darasani kuwadanganya watoto; MUNGU ATAWALIPA UDHALIMU WENU
Muwajibike nyinyi kwanza kabla hamjamuwajibisha mtu. Rais ana mandate mpaka 2015! Nimekwambia Serikali imetangaza kutanua...
Swali limejibiwa; hujataka tu kukiri!
Nimefanya mengi; moja wa mambo niliyofanya ni KUKEMEA UOVU WA WALIMU WAKORA WANAOITUMIA CWT VIBAYA ILI KUATHIRI TAIFA LETU
Suala la 200,000 kutotosha na kwa ujumla mazingira ya kazi ya kada ya walimu nimekubaliana na wewe na wengine tangu mwanzo kuwa malipo hayatoshi na mishahara pia. Nadhani utakubaliana na mimi kwamba kuna tatizo lililojitokeza la walimu wa Voda Fasta (UPE) na ndio mzizi wa yote haya. Nadhani pia...
Una uhuru wa kuomba radhi au kutoomba mheshimiwa Almeida.
Mimi sio Government agent. Kunufaika na mfumo inategemea. Mimi nina biashara zangu; nalipa kodi na nchi iko salama. Biashara zangu hazijawahi kuvamiwa na polisi kuja kunipora au kuniibia. Hivyo sioni udhalimu wa Serikali na siwezi kusema...
Kama uadilifu ni kuunga Mkono vitendo vya kuhujumu elimu na watoto wetu; basi nashindwa kuthibitisha.
Ufisadi ni kule kula fedha za wengi kwa manufaa ya mlaji na wakati uleule kuwanyima hao wengi wanachostahili. Mfano Mzuri sana ni ulaji wa Tshs Milioni 240 na viongozi wa CWT. Na kwenye mfano...
Kama wewe unahisi madai yako muajiri hatekelezi; kwa nini unang'ang'ania ajira hiyo? Hawajatekeleza madai sio kwa kumkomoa mtu; ila ndio uhalisia wa hali kwa jinsi mambo yalivyo. Kufanya unavyotaka ni kuhujumu taifa, na wasio na hatia. Kama unamuamini Mungu; hakika kwa hili iko siku ya hukumu na...
Mimi ni Mtanzania tena kindakindaki; naishi Tanzania; kwa sasa niko Singida; ila naishi Mkuranga. Ninahangaika sana na maisha na nakereka na mambo ya ufisadi; hususan TANESCO;
Siasa ni mfumo wa maisha unaotumika kuongoza au kuchangia uongozaji wa dola;
Sikuleta kwa sababu sikuwahi kusema ipo...
Kwani Tonnyalameida Mumelazimishwa kukaa na ajira? Kama hamulipwi vya kutosha si muache kazi ijulikane hakuna Mwalimu kuliko kupotosha jamii idhanie kuna mwalimu kumbe ni kiumbe aliyeamua kuchakachua watoto wa walipa kodi kwa mgogoro baina yake na mwaajiri wake?
Soko huria Almaeda
Alikua ameenda kwenye miradi yake, Jumatatu tunaenda kwake kufanya General Cleaning, Jumatano kila mtoto anakuja na kipande cha kuni na Ijumaa kila mtoto anakuja na yai, Jumanne tulikuwa kila mtoto lazima anunue andazi kwake na alhamisi hivohivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.