Recent content by Makambovich

  1. Makambovich

    KKKT Mbezi Beach msilazimishe waumini kuabudu kwa Kiingereza

    Nasikia ibada za lugha ya malkia zinakua fupi fupi..kwenye mahubiri hakuna zile longo longo za mifano ya uongo na ukweli
  2. Makambovich

    Je, nani anaweza kumzidi mwenzake soko kati ya Azam na DStv endapo hili likifanyika?

    Azam hawa hawa ambao hata ukipiga customer care hawawezi kupokea simu..mzigo mzito unawapa ubora wa huduma sio vipindi tu
  3. Makambovich

    Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

    Labda watatupa remote control..tunabonyeza tu tukiwa kwetu 😂😂
  4. Makambovich

    Francis Ndulane anahitaji sana ushauri asijidhuru

    Mwambieni hajachelewa tunaweza kutuliza hasira za mkulu muhimu aje na mbuzi jike..kilo 25 za mchele..debe 4 za mkaa..mafuta ya sunflower lita 5..isizidi tarehe 24/12
  5. Makambovich

    Waliokuwa wanamshangilia na kumsifu anayejiita 'Mdude Chadema' wako wapi?

    Dah lakini bila shaka taarifa muhimu zinamfikia ikiwa ni pamoja na 01-01-2021 yule mgombea anarudi baada ya kumaliza kazi yake..
  6. Makambovich

    Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

    Inahitaji mtu uwe umechangamsha akili kidogo na maji yetu yale ili kujua majukumu ya mwanachama wa hiyari..
  7. Makambovich

    DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

    Wanaendaje Dodoma bila kutusainia fomu za makato ya wabunge kuimarisha Chama 😀😀
  8. Makambovich

    Ester Matiko: Kama Chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

    Ni kama anaulizwa umekula mchana naye anajibu hapana sababu chips na mishikaki kwetu sio chakula.
  9. Makambovich

    Yanga Omary ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kuuza dawa za kulevya

    Matibabu bure jumlisha na ndoa pasipo kutolewa mahari
  10. Makambovich

    Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

    Tunakiri kupokea box/Parcel yenye malalamiko kutoka huko Tanzania ..bahati nzuri kuna malalamiko ya bwana Donald Trump tutafanyia kazi kwa pamoja
  11. Makambovich

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

    Wangejitahidi kuwahi mapema maana kuna tatizo la upatikanaji maji ya kuwasha😂😂
Back
Top Bottom