Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kuna wageni wengi Mbezi. Wamama zaidi ya watatu ninao wafahamu wamepata ndoa za ukubwani na Wamarekani weusi.Je! Kuna Jamii au watu especially mataifa ya nje wanaozungumza kingereza??? Kama hakuna huo ni ushamba...
Hawa wababa walikua wanajeshi na wamestaafu. Jeshi la Marekani unastaafu baada ya kutumikia miaka 16. Wengi wao wako kwenye 40’s na wana pension ya uhakika wameamua kumalizia maisha yao Afrika.