ndio maana tulipewa eneo kubwa la nchi ili tuokote okote,ukubwa pua si wingi wa kamasi,
nawaza kama mkoloni angeipeleka kilomanjaro kenya,kagera uganda,mara iende kenya,hii nchi yangebaki maboga tu,
mikoa inayotoa changamoto ni hiyo tu,kisiasa,kiuchumi,kielimu,ukienda ktk vyuo vya elimu ya...