Recent content by Makambaja

  1. Makambaja

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtoto wa Shetta, Qailah: Wote Wanaomtukana Rais Samia tutapita nao mazima

    Yes! No Reforms No Election
  2. Makambaja

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No Reform No Election... NRNE
  3. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

    Mikwara tu hiyo tar 20/01/2020. tunaendelea na mawasiliano bila namba za Nida wala kitambulisho. Binafsi nitaenda NIDA watakavyorekebisha usumbufu wao.
  4. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Kesho EUR day! We simply swallow pips
  5. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Yap .. Three mountains or three tops is top reversal.
  6. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Yani kirahisi tu watu tutumie namba ambayo hatuijui maana yake kwenye maswala ya msingi sana kama hela??? you can't be serious dude. tuambie hiyo namba maaana yake na madhara ya kuitumia hiyo namba na pia umeipata wapi a.k.a nani kakupa. who is the guy behind the number??????? otherwise I can...
  7. Makambaja

    JamiiForums Tanzania ONTARIO'S JF Exclusive Interview: Ujasiriamali na harakati za maisha kwa ujumla

    Shukrani kwa kutuvutia hicho kimoja! ila vipo vitatu.... viwili ni hivi hapa, labda ukipata nafasi. Unaweza kutusaidia pia. ● Lions on the move: Realising potential of Africa's economy. Kimeandikwa na mzee baba Acha Leke wa Mckinsey. ●Pia Ashish Thakkar huyu dogo bilionea wa uganda ana kitabu...
  8. Makambaja

    JamiiForums Tanzania ONTARIO'S JF Exclusive Interview: Ujasiriamali na harakati za maisha kwa ujumla

    hahahaha.... mhandisi tunakupata!
  9. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    E bwana hongera! Naona top-reversal patterns unazipatia sana. Big up. ingawa SL siooni. utakuwa na 100% uhakika na pattern yako haha! Safi sana
  10. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Yap Lodrick! Sio mbaya sana ingawaje utakuwa umeongeza risk kidogo. "Pro trader wanakwambaia protect your capital in any way". but the most important ni SL.
  11. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Pole, naona tunajifunza the hardway, but one of these days tutafanya vyema! Sio vzr sana ku trade ule muda news inakuwa released, ni vyema ukafunga pisition.... then after news u join the train. What gives account to fundamental analysisis is the "the market reaction to news and not the news...
  12. Makambaja

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    ofcourse yes...hata 4hrs, Daily kama upo vzr. Lakini Weekly na Monthly kwanza inabidi uwe na Margin ya kueleweka mana pullbacks na rally za katikati hapo zitakutoa nje tu. Pia uwe na knowledge ya kutosha. infact unaweza trade long-term ila kwa newbie its not appropriate at all. long-term kwako...
Back
Top Bottom