komaeni wazee kitaeleweka! wanaweweseka by nw itafika mahali wataelewa hawataenjoy ufisadi wao! mungu yupo na anaona harakati zetu hatatuacha tuzame ktk lindi la tope au mkondo wa maji utugharikishe!
kadri watanzania tunavyozidi kufarakana kwa tofauti za vyama ndo tunawapa mafisadi nafasi ya kuendelea kukaa madarakani! kwa nini tusiungane na kuichukua nchi yetu kabla haijatafunwa hata mifupa iliyobaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.