Recent content by makajoo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini tunaulazimishia kwa nguvu zote ugonjwa wa Corona kuwa umerudi upya?

    Hii nchi ina watoto wa Mungu na wa shetani. Kila mtu afate imani ya baba yake tusilazimishane. Ina maana ktk Taifa hakuna wenye maono/werevu? Sitaki amini kama Taifa limekuwa Na mbu3 wate!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ni nini faida za CWT Kwa wanachama wake ambao ni walimu

    Chama feki sana hiki. Pamoja Na mikiki yote ya walimu lakini wameshindwa kukikataa hiki chama!
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

    Nina Mke 1 Na nimeridhika kabisa. Sasa ukware ulionao usifikiri wote ni wakware, tuombe radhi isee!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nimegundua haya Mawili tu yangefanyika katika Vichwa vya Watanzania wote wala hizi 'Kelele' za 'Chura' tusingezisikia kabisa

    Kwa hiyo watz ndiyo unawaita chura? Ktk watz Hawa wamo Na Ndugu zako ujue. Kwa maana hiyo mtoto wa chura nae ni nani vile? Chura Mkubwa wewe!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi Serikali inavyotakiwa kudhibiti mfumuko wa bei

    Pamoja Na hayo petroli imepanda, bila shaka vitu vitazidi kupanda maana hatukai viwandani lazima visafirishwe.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

    tcra bure kabisa. Vikampuni hivi sijui vinatija gani kwa nchi!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

    Huwezi mlazimisha mtu ambaye haumwi. Akili ni nywele chanja wewe siyo uwasemee wengine.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

    Mi navyojua hayo yatakuwa ya kusafirishia ng'ombe Na mkaa.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

    Tahadhali chukua wewe siyo uanze kutisha weñgine! Kila siku mnazungumzia hilo2 ina maana Hamna jipya la kujadili hapa? Jinga kabisa!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kodi ya mafuta na kwenye miamala ni kaa la Moto, furaha imetoweka tena

    Ukipandisha kodi kwenye mafuta tayari umeongeza gharama za kuishi! Ina maana huko mof wamejaa wachumi uchwara tu. Basi wakati wa kutunga bajeti wawe wanatushirikisha tuwe tunawapa mawazo! Nchi ina bahari kwa nini mafuta yetu yawe Juu kuliko nchi zote ktk afrika?
  11. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO ya sasa imekuwa pambo; kipindi cha Magufuli ilikuwa ni ya kiutendaji

    Ila Kweli Tanesco Nyakato Mwanza sijui kuna shida gani! Mh. Waziri wewe tunakujua ni mchapa Kazi tusaidie. Yaani surveyor kumtoa ofisini aje kukukagua bila rushwa haji! Haya ukishalipia kuja kukuunganishia bila rushwa utakaa hivohivo! Maisha gani haya? Mbona sehemu nyingine wako tofauti sana Na...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni busara kwa masheikh wa uamsho kukaa kimya kuliko hivi wafanyavyo

    Dawa warudi Ndani tena wasionekane tena.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini nguzo za zege hazitumiki kama nguzo za umeme?

    Tz ulaji Ndugu!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

    Yaani maofisini ndiyo majanga! hawajui kitu! Hata huko Kazi ni hiyo2 kwenda na maboss wao. Wakati wote ni ruhusa naumwa Mimi/mtoto/sijisikii kufanya Kazi/tumbo la chini linaniuma/naenda kupima chango sijui linataka mtoto nk. Ndiyo maana weupe hawatakagi kabisa kuajiri Hawa jamaa! Halafu...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kuchakata mafuta ghafi/petroleum - TANZANIA

    Hiyo point. Naunga Mkono hoja.
Back
Top Bottom