Nakuunga mkono mkuu. Kama tukiwa wazalendo kweli huu mfumo ni mzuri na unatufaa sana kama siasa ikiwekwa kando na uzalendo kutangulizwa. Pia kufanyia mayoress vitu vidogo vidogo
Bahati nzuri kwa mtu ambae hakuwa na document mkononi anakwenda masijala na anapatiwa viambatanishi vyake vyote. Najua mapungufu yanaweza kuwepo ila naelezea kupitia halmashauri Meru kwa namna nilivyoona
Ndiyo maana nikasema, watu hawa wameshaanza kulipwa na walipaji ni hiyo mifuko ya jamii ndio inahusika kama unavyosema mkuu. Ingawaje kwenye malipo kuna watu wa,eanza kazi mwaka mmoja na daraja moja ila kuna katofauti kidogo kasiko zidi laki kwenye hayo malipo
Kama unatambua wameshaanza kulipwa ni jambo jema. Na hakuna mahali nimeandika mnaandika Kibwege, labda kosa langu ni kuandika mfanye utafit. Any way, nimekuelewa mkuu
Wakati mwingine ni vema tukawa tunafanya utafit kabla hatujatuhum jambo. Wameshaanza kulipwa, kati ya watu karibu kumi walioondolewa kazini ninaowafaham, sita wameshalipwa kuanzia wiki mbili nyuma ingwaje fedha zinaingizwa acc kwa siku tofauti tofaut. Na wanalipwa fedha waliyokatwa wao tu wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.