Mgombea wa ccm afariki baada ya kushindwa uchaguzi

Mgombea wa ccm afariki baada ya kushindwa uchaguzi

Idimulwa

Platinum Member
Joined
May 27, 2011
Posts
6,205
Reaction score
5,276
Mwana Mama aliyegombea ujumbe wa serikal za mitaa,kupitia ccm,mtaa wa Nyerere B,kata ya Mabatini jijini Mwanza,amefariki Dunia Jana Bugando Hospital.

Chanzo cha kifo chake ni kushindwa na shoga yake aliyegombea kupitia CHADEMA ambapo marehemu aliangua kilio Mara baada ya matokeo na kuanguka chini kisha kuzirai,na kukimbizwa hospital ambako amelazwa toka Decemba mwaka Jana..ambapo presha ilikuwa ikipanda kila amwonapo shoga yake aliye mshinda huku akidai kutokuwa tayari kupeleka shida zake kwa kiongozi ambaye ni shoga yake mpaka mauti yalipomfika Jana.Katika uchaguzi huo CDM walinyakua viti vyote mtaani hapo
 
Alale mahala pema peponi.
Awaandalie wenziwe wa jembe na nyundo wengi watamfuata baada ya October kwa staili tofautitofauti
 
Mwana Mama aliyegombea ujumbe wa serikal za mitaa,kupitia ccm,mtaa wa Nyerere B,kata ya Mabatini jijini Mwanza,amefariki Dunia Jana Bugando Hospital.

Chanzo cha kifo chake ni kushindwa na shoga yake aliyegombea kupitia CHADEMA ambapo marehemu aliangua kilio Mara baada ya matokeo na kuanguka chini kisha kuzirai,na kukimbizwa hospital ambako amelazwa toka Decemba mwaka Jana..ambapo presha ilikuwa ikipanda kila amwonapo shoga yake aliye mshinda huku akidai kutokuwa tayari kupeleka shida zake kwa kiongozi ambaye ni shoga yake mpaka mauti yalipomfika Jana.Katika uchaguzi huo CDM walinyakua viti vyote mtaani hapo

Mwache ajifie tupunguze mafisadi.
 
Acheni wafu waendelee kuzikana na bado, watazikana sana mwaka huu hasa October!
 
Mwana Mama aliyegombea ujumbe wa serikal za mitaa,kupitia ccm,mtaa wa Nyerere B,kata ya Mabatini jijini Mwanza,amefariki Dunia Jana Bugando Hospital.

Chanzo cha kifo chake ni kushindwa na shoga yake aliyegombea kupitia CHADEMA ambapo marehemu aliangua kilio Mara baada ya matokeo na kuanguka chini kisha kuzirai,na kukimbizwa hospital ambako amelazwa toka Decemba mwaka Jana..ambapo presha ilikuwa ikipanda kila amwonapo shoga yake aliye mshinda huku akidai kutokuwa tayari kupeleka shida zake kwa kiongozi ambaye ni shoga yake mpaka mauti yalipomfika Jana.Katika uchaguzi huo CDM walinyakua viti vyote mtaani hapo

msije mkawa mmemdunga sindano ya kufa taratibu kumbuken huyo binadamu ;wenzetu!
 
Khaaa! sasa alitaka mwenzake ndo ampelekee shida yeye! MAGAMBA bwana. mbona kazi ipo octoba
 
Acheni wafu waendelee kuzikana na bado, watazikana sana mwaka huu hasa October!

Kazikwa na makamanda wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mtaa kupitia CDM huku wasifu wa marehemu ukisomwa na shoga yake aliyemshinda kwenye uchaguzi
 
Well done Mabatini..well done Calfonia

True homehood!!
 
Back
Top Bottom