Recent content by MakaDik

  1. M

    Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

    Nasikia kafariki huyo Binti baada ya kuugua Kwa muda mfupi..pole Kwa familia yake, kanisa na taifa
  2. M

    Msomi ni nani?

    Kubuni jambo lenye kuleta tija Kwako na jamii Kwa ujumla na kuingia katika kulitekeleza au kulifanya na likaleta majibu. Binafsi naamini ndio usomi
  3. M

    SHAIRI: Mpendwa ujitafute

    SHAIRI MPENDWA UJITAFUTE 1.Ninapolileta somo, cha kwanza nawasabahi Mi Mzee wa makamo, sikiliza nawasihi Naufungua mdomo, naamini nimewahi Mpendwa ujitafute, kwa sasa hupatikani 2.Yule tulomfahamu, tofauti na wa leo Kawa kama mnywa damu, bora hata ya Farao Watu wamekosa hamu, maswali kila...
  4. M

    Shairi: Swali juu ya mabadiliko ya wajawazito

    Wabailojia leteni majibu hapa
  5. M

    Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

    Ukiacha hizo za wazungu dini zetu za asili za Afrika zinakemea Sana ila Wengi wameshupaza shingo
  6. M

    Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

    SHAIRI KUHUSU USHOGA NA USAGAJI 1. Mikono ninaipunga, salamu nipate jenga Salamu hiyo yalenga, janga lilotia nanga Watu wamepigwa changa, wa tayari kuwahonga Ushoga jamani janga, sasa linaziba mwanga 2. Ushoga jamani janga, sasa linaziba mwanga Wengi wamepigwa chenga, eti pesa inalonga Tukatae...
  7. M

    SHAIRI: Ukithamini urembo mambo yatakwenda kombo

    SHAIRI..UKITHAMINI UREMBO MAMBO YATAKWENDA KOMBO 1.Maisha yetu ni fumbo jaribu kufanya jambo. Unapozeeka umbo, kumbuka kuacha nembo Dunia hii ulimbo, usije kufanywa chambo. Ukithamini urembo,Mambo yataenda kombo. 2.Ukithamini urembo, mambo yataenda kombo Tutakuimbia nyimbo, umeimaliza mbombo...
  8. M

    Shairi: Swali juu ya mabadiliko ya wajawazito

    Bado Nasubiria jibu😄😄
  9. M

    SHAIRI

    KUPOTEZEA 1.Kupotezea ni neno, rahisi kulitamka Lakini lina vinono, kulikoni kuwa taka Linavunja mvutano, huziba palotoboka Kama una jambo baya, potezea litapita 2. Kama una jambo baya, potezea litapita Watakuona ni boya, badae hutajajuta Potezea bila haya, mbele yako utapeta Kama una jambo...
  10. M

    SHAIRI: Janga la kubeti

    😳😳Ambalo hujaliona kama janga mimi nimelichagua kujulisha kuwa nalo ni janga🤣
Back
Top Bottom