Mwana jf naombee mnishauri,
Mimi nikijana ambae nilijiunga na Jeshi la JKT kwa upande wa kujitolea. Naingia jeshini, ktk intec yetu tuliunganishwa na vijana wenzetu kwa mujibu wa sheria, kipindi mafunzo yanaendelea, nilitokea kumpenda mschana mmoja wa wa mujibu. Nayeye pia alinielewa.
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.