Recent content by Majwahis

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tujifunze kutunza kumbukumbu za members wote wanaosapoti mauaji ya halaiki.

    Kuna vijana humu hawajitambui (nafikiri wanatumwa), inabidi wafungue macho maana nchi imeshabadilika sana hii, soon wataumizwa wakati wanaowatuma wameshakimbia. Nimekaa palee...!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Afungua Nchi na Kuwezesha Bei ya Zao la Mbaazi Kuongeza Kwa asilimia 1000% kutoka shilingi 200 (2020) Hadi Shilingi 1,200 (2025)

    Kwa hiyo kutoka 200/- hadi 1,200 ni ongezeko la 1,000% Kichwani umejaa tope vundo!
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Anamringi Macha: Samia legal Aid yaokoa 177,000 Simiyu

    Hii nchi kwa kupika taarifa, eti wananchi 117,000! Una uhakika na taarifa yako? Serikali ingekuwa makini ingeenda kujiridhisha na taarifa hizi! Mi naamini ni za kupika!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mapya ya ‘awamu ya sita’!

    Watu wa pwani hawawezagi uongozi, Hata wao wakakiri. Hatutakuja piga hatua tutabaki wajinga hivi2. Wamejaa uswahili2 tu!
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Serikali inakadiriwa kupata Mapato Mrabaha Dola 373,000,000 Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji wa Madini ya Urani, Namtumbo

    Masikini mbongo! Yaani madini adimu hivi tunaambulia Dola 373m/- peke yake! Haya bhana Mungu atusaidie!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hawa na wenyewe wanasema wanataka ubunge ni zaidi ya vichekesho!

    SEMA Steve mengele Usimdhalilishe baba wa taifa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Licha ya Tanzania kutajwa kuwa na Viwanda 28,000 ila hatumo kwenye orodha ya Nchi 10 Za Viwanda Africa. Tumezidiwa na Zambia, Tunisia n.k

    Masikini tz, yaani tumekuwa wajinga kiasi hiki? Cherehani, machine ya kusaga, kutyatua tofali navyo ni viwanda? Mwalimu aliacha viwanda vingi, Sasa hivi wanafugia mifugo na kutoa chuma chakavu! Basi bhana...
  8. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Ona mtangazaji wa ITV alivyombana Kafulila Studio Live 'unafanya siasa na maisha ya watu?'

    Huyu jamaa ni king'ang'anizi hatari! Sijui anataka nini?. Haya unaongelea vifo vya watoto/wamama wanaojifungua! We daktari? Bure kabisa!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Taasisi zenye mishahara mikubwa Tanzania

    Wameshasema hili shamba la bibi, nani anajali!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jesca Magufuli ametengenezewa jimbo la Katoro?

    Huyu Binti anatumika tu, namshauri kwa yaliyotokea aachane na siasa!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hasira hizi na maelekezo haya tumekwisha

    Kwa kuwa ni ishu ya haki, wazungu wanapasha yetu macho!
  12. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Ifike wakati kwenye mambo ya kiuchumi serikali imsikilize pia David Kafulila. Anaeleweka kwa makundi yote, ni mmoja wa hazina za Taifa

    Jamaa alibishana bungeni hadi kaitwa tumbili! Yaani anajua kung'ang'nia huyo kiumbe! Haya mambo anayokazania ndiyo ukoloni mambo Leo kukabidhi mali za nchi kwa watu binafsi. Si ndiyo mambo kama ya bandari, Kuna faida gani pale? Bandari zote baharini, maziwani, mitoni mmekabidhi, mtu mmoja...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mfalme Zumaridi anasumbuliwa sana na dola? Uhuru wa kidini uko wapi!?

    Ili tuendelee kuwa na amani bora huyo mfalme bandia akafichwe ndani tu, hakuna namna.
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliowahi kula wasanii wakubwa wakubwa tujuane

    Yaani umetupa hela zote hizo unakuja kujisifu huku! Ungewapa wazazi si wangekuombea mema aisee!
Back
Top Bottom