Recent content by majoto

  1. majoto

    Wanaume tunzeni akiba ya kustaafu, hao watu tunaosotea sio wenzetu

    kwa kweli. Tunatakiwa tubadilishe mtazamo... elimu wapate lakini si ya kutegemea kuajiriwa. Tuwajengee kujiajiri na waijue hali halisi ya maisha ya sasa
  2. majoto

    Wanaume tunzeni akiba ya kustaafu, hao watu tunaosotea sio wenzetu

    Haya mawazo tunayapata sasa hivi. Kipindi cha nyuma ilikuwa ikiwekeza kwa kumsomesha mtoto akapata elimu nzuri atapata ajira nzuri. Sasa imekuwa tofauti, inabidi tubadilike
  3. majoto

    Wanaume tunzeni akiba ya kustaafu, hao watu tunaosotea sio wenzetu

    Kwa kweli vidume wote wanapaswa kubadilika. Jipende, linda familia ujilinde na wewe. Jiwekee akiba yako binafsi Wanaume kwa wanaume shikaneni msaidiane ninyi kwa ninyi. Utakuta wanawake wakiwa kwenye magumu husaidiana hasa ndugu hupeana pesa, nguo, na mengine lakini wanaume hawasaidiani hata...
  4. majoto

    Mbona kama watu hawanioni/sionekani

    Waahi kuombewa.... umebaki kivuli
  5. majoto

    Nini kinaendelea Silent Ocean? Mzigo tokea Oktoba 2025 haujafika

    kwa hiyo bidhaa zilizotakiwa uuze xmas bado ziko majini, duu bidhaa za januari za shule nazo bado..... poleni sana sana
  6. majoto

    Mnawezaje kuishi na Wageni wanaochagua sana vyakula?

    Mgeni gani anajua vichocho vya mamantilie vya mtaa. huyo sio mgeni, aondoke tu....
  7. majoto

    Kanda ya Kaskazini ni kanda ya ajabu sana. Sijui wapoje?

    :D :D :D :D :D kumbe kauza korosho anaanza matusi
  8. majoto

    Mnawezaje kuishi na Wageni wanaochagua sana vyakula?

    Kuharibu bajeti yako ya chakula kwa uwezo ulionao ni makosa. Asiyeenda na bajeti yako aondoke, mwambie ahamie huko kwa mama ntilie...
  9. majoto

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Oil fake, maji feki, dawa feki, kila kitu feki.... tutaponea wapiiii???? Ee Mungu tuangalie waja wako
  10. majoto

    TCRA: Wazazi msiwanyang'anye Watoto simu, fuatilieni wanachofanya, ulinzi wa mtoto mtandaoni ni mazungumzo

    mmmh sijui ila ni mapema sana kuruhusu mtoto apewe simu. ingekuwa vema wakapewa elimu kwanza kuhusu utandawazi kwa ujumla na kujua kilichomo kwenye hizo simu na madhara yake kuliko kumuacha tu aone uchafu na usafi uliomo, aone vituko, matusi na matendo yaliyomo bila kuwa na ufahamu kabla. Sio...
  11. majoto

    Amani ni kila kitu itunze isipotee ndani yako

    Mbona kama karibu unataka kufwaaa :D :D :D :D
  12. majoto

    Je, Mungu yupo au hayupo?

    Ukichunguza wanaosema hakuna Mungu, wengi wao huwa hawakufanikiwa matakwa yao ambayo walitamani Mungu awafanyie au alifanyie taifa lao na ndugu zao. Kwa kukata taamaa kwao huamua kusema hakuna Mungu... mfano Baba yenu Clemence Mwandambo.. Mimi Naamini Mungu yupo na sina hasara kuamini hivi...
Back
Top Bottom