kwa kweli. Tunatakiwa tubadilishe mtazamo... elimu wapate lakini si ya kutegemea kuajiriwa. Tuwajengee kujiajiri na waijue hali halisi ya maisha ya sasa
Haya mawazo tunayapata sasa hivi. Kipindi cha nyuma ilikuwa ikiwekeza kwa kumsomesha mtoto akapata elimu nzuri atapata ajira nzuri. Sasa imekuwa tofauti, inabidi tubadilike
Kwa kweli vidume wote wanapaswa kubadilika. Jipende, linda familia ujilinde na wewe. Jiwekee akiba yako binafsi Wanaume kwa wanaume shikaneni msaidiane ninyi kwa ninyi. Utakuta wanawake wakiwa kwenye magumu husaidiana hasa ndugu hupeana pesa, nguo, na mengine lakini wanaume hawasaidiani hata...
mmmh sijui ila ni mapema sana kuruhusu mtoto apewe simu. ingekuwa vema wakapewa elimu kwanza kuhusu utandawazi kwa ujumla na kujua kilichomo kwenye hizo simu na madhara yake kuliko kumuacha tu aone uchafu na usafi uliomo, aone vituko, matusi na matendo yaliyomo bila kuwa na ufahamu kabla. Sio...
Ukichunguza wanaosema hakuna Mungu, wengi wao huwa hawakufanikiwa matakwa yao ambayo walitamani Mungu awafanyie au alifanyie taifa lao na ndugu zao. Kwa kukata taamaa kwao huamua kusema hakuna Mungu... mfano Baba yenu Clemence Mwandambo..
Mimi Naamini Mungu yupo na sina hasara kuamini hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.