Kimapenzi wanawake wa Nigeria wanapenda kutawala na kutoa amri, yaani awe juu ya mwanamume, anauwezo wa kukwambia simtaki mama yako aje hapa na utafanya hivyo. Wabinafsi wanaojipenda sana wenyewe, tena ukimpata mwenye pesa ndio ujue umekwishaaaaa. Wanakabaaaa balaaa, hupati muda wa kuwa peke...
Roho haifi bali inamtoka mtu. Ikimtoka kila kitu kinazima unabaki mwili ukimalizia hizo process za kuzima moyo, ubongo na viungo vingine na hapo ndio tunasema amekata roho. Jaribu kufikiria kuna wale ambao huwa wanauacha mwili na wanaenda kutembea huko then wanarudi... sikumbuki inaitwaje ila...
Uwe unatembelea makaburini nyakati za kuchimba makaburi. Eneo moja linaweza tumika kuzika watu wengi tu kwa nyakati tofauti. ukitembelea eneo la makaburi ya zamani utagundua wanaanza kuchumbi makaburi mapya juu ya yale ya zamani ambayo hayana hata anayeenda kuyatembelea.
Waomba michango wawajielewi na wachangiaji pia hawajielewi. kumekuwa na tabia ya watu kulalamikaaa weeeeee lakini bado wanachanga na kuendekeza watu wajiombee tu michango kiholela. Kama ni lazima sana uchangie hiyo harusi changa ulichonacho bila kujali utaalikwa au laaa.... yaani ujikaze...
Nakwambia uende mirembe kwa sababu box lako limejaa (sehemu yako ya kufikiri) kwa sababu ya ugumu wa maisha unayopitia ndio maana unashindwa kuchuja faida za kuishi hivyo ulivyo ukiwa na figo 2 na faida za kuishi na figo moja.
Akili yako haigeuzi shilingi.... najua huwezi elewa. Umenikuta leo...
Umeshajiuliza hawo wanaouza figo huwa wako kwenye hali gani? unadhani wote huwa wanauza kwa ajili ya maisha magumu? sikushauri ila nakwambia unahitaji kutibiwa. Ingekuwa ni rahisi hivyo unavyofikiri mbona ungezikuta dukani zinauzwa... mirembe inakuhusu
Kwa nini uuze figo yako? ukishaiuza maisha yatakuwa mepesi? tunashauri watu jinsi ya kutunza figo zao ili waishi bila magonjwa wewe unafight kwenda kuitoa figo yako kwa kuiuza kisa maisha magumu! eti na passport unayo!! rafiki jifikirie vizuri. Kama una figo mbili nzima na maisha bado...
Naelewa utakuwa unapitia hali ngumu kwa sasa. Natamani ujue kipindi cha hali ngumu sio kipindi cha kujiona mnyonge na kufanya/kutamka vitu vitakavyokupa majibu ya kukuumiza. Pamoja na hali ngumu yako angalia ni wapi unatafuta msaada sio popote tu hata kwa sehemu unayojua itakuumiza. any way...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.