Amevaa sahihi kabisa. Yupo safari ya kikazi tena msibani lazima avae nguo zitakazomfanyia wepesi kushuka na kupanda gari, kupiga picha na kuongea na watu mbalimbali ..... NAKADHAA WA KADHA. Ulitaka avae Kanzu na koti.
Malezi ya kizazi cha mlengo wa kumkomboa mtoto wa kike, kimemuathiri sana mtoto wa kiume. Popote ulipo msaidie mtoto wa kiume ajitambue kwamba yeye ni mwanamume, mtawala, kichwa cha nyumba, mpambanaji, nguzo ya taifa na familia. Mapambano yaanzie nyumbani. Mwanamke mpambanie mwanao wa kiume...
Mnataka nini nyie binadamu? mnawatukama singo maza hapo hapo mnataka kuwamwagia maoil yenu bureee waendelee kuzaa ovyo! kama haitoshi mnawalaumu kwa nini wanavibania! Ukizidiwa owa ukae nayo ndani... kama huwezi pambana na sabuni zako hadi upinde kama upinde wa mvua..... Waacheni binti zetu!!!
Samehe uwe na amani moyoni mwako. Yeye aliwadharau na kuwasimanga watoto wa masikini lakini Mungu huyu wetu sote bado akautumia mdomo huo wake kushauri ifanyike Harambee!! achilia, achana nae maisha yaendeleee
Moja ya Sababu ya kuanzisha mahusiano kwa wanaume ni kupata pa kumwaga oil, hivyo akikubaliwa tu anataka service. Mwanamke hutumia nafasi hiyo kuona amepata pa kuponea mahitaji yake..... hakuna service ya bure hivyo hatachelewa kuomba pesa! Hii tunaita mbwa kala mbwa. Toa nitoe 🤣 au nipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.