Recent content by majoto

  1. majoto

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    Changamkia fulsa ya kuwa hapo Veta. jifunze hata jinsi ya kutunza magari itakusaidia kesho uraiani. utanikumbuka
  2. majoto

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kimapenzi wanawake wa Nigeria wanapenda kutawala na kutoa amri, yaani awe juu ya mwanamume, anauwezo wa kukwambia simtaki mama yako aje hapa na utafanya hivyo. Wabinafsi wanaojipenda sana wenyewe, tena ukimpata mwenye pesa ndio ujue umekwishaaaaa. Wanakabaaaa balaaa, hupati muda wa kuwa peke...
  3. majoto

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Vanessa Mdee ndio dawa ya huyu jamaa. Nigeria ameenda utumwani.
  4. majoto

    JamiiForums Tanzania Kwanini maisha binafsi ya mastaa yanapendwa kufatiliwa kuliko kazi zao?

    Maisha yao yanafuatiliwa kwa sababu wameamua kuyaanika barazani
  5. majoto

    JamiiForums Tanzania Je kitaalam kipi kinahusika na kifo kati MOYO NA UBONGO AU ROHO NA AKILI?

    Roho haifi bali inamtoka mtu. Ikimtoka kila kitu kinazima unabaki mwili ukimalizia hizo process za kuzima moyo, ubongo na viungo vingine na hapo ndio tunasema amekata roho. Jaribu kufikiria kuna wale ambao huwa wanauacha mwili na wanaenda kutembea huko then wanarudi... sikumbuki inaitwaje ila...
  6. majoto

    JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    Uwe unatembelea makaburini nyakati za kuchimba makaburi. Eneo moja linaweza tumika kuzika watu wengi tu kwa nyakati tofauti. ukitembelea eneo la makaburi ya zamani utagundua wanaanza kuchumbi makaburi mapya juu ya yale ya zamani ambayo hayana hata anayeenda kuyatembelea.
  7. majoto

    JamiiForums Tanzania Damu ni nzito kuliko maji: Baba wa kambo hata uwajali watoto, wakikua wataanza kutafuta asili za baba zao, hata kama mama zao waliwasingizia mabaya

    Usikubali kuwa baba wa kambo kama Baba mzazi bado yuko hai. Utanyanyasika hadi uchanganyikiwe. Fanya utafiti. Hakuna mbadala wa Baba aliye hai.
  8. majoto

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    Usiendekeze kamati za kuumizana. Yaani mtu hana muda na wewe lakini siku anataka kuoa/kuolewa anajifanya anakualika mwanakamati ili akunyonyoe vizuri.
  9. majoto

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    Waomba michango wawajielewi na wachangiaji pia hawajielewi. kumekuwa na tabia ya watu kulalamikaaa weeeeee lakini bado wanachanga na kuendekeza watu wajiombee tu michango kiholela. Kama ni lazima sana uchangie hiyo harusi changa ulichonacho bila kujali utaalikwa au laaa.... yaani ujikaze...
  10. majoto

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Nakwambia uende mirembe kwa sababu box lako limejaa (sehemu yako ya kufikiri) kwa sababu ya ugumu wa maisha unayopitia ndio maana unashindwa kuchuja faida za kuishi hivyo ulivyo ukiwa na figo 2 na faida za kuishi na figo moja. Akili yako haigeuzi shilingi.... najua huwezi elewa. Umenikuta leo...
  11. majoto

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Umeshajiuliza hawo wanaouza figo huwa wako kwenye hali gani? unadhani wote huwa wanauza kwa ajili ya maisha magumu? sikushauri ila nakwambia unahitaji kutibiwa. Ingekuwa ni rahisi hivyo unavyofikiri mbona ungezikuta dukani zinauzwa... mirembe inakuhusu
  12. majoto

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Kwa nini uuze figo yako? ukishaiuza maisha yatakuwa mepesi? tunashauri watu jinsi ya kutunza figo zao ili waishi bila magonjwa wewe unafight kwenda kuitoa figo yako kwa kuiuza kisa maisha magumu! eti na passport unayo!! rafiki jifikirie vizuri. Kama una figo mbili nzima na maisha bado...
  13. majoto

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Mirembe ni Hospitali nguli ya magonjwa ya akili. Ungeanzia pale kwanza wangekushauri hatua za kuuza figo
  14. majoto

    JamiiForums Tanzania Naomba Mkopo wa TSh 20,000 – Nimekwama kwa Sasa

    Naelewa utakuwa unapitia hali ngumu kwa sasa. Natamani ujue kipindi cha hali ngumu sio kipindi cha kujiona mnyonge na kufanya/kutamka vitu vitakavyokupa majibu ya kukuumiza. Pamoja na hali ngumu yako angalia ni wapi unatafuta msaada sio popote tu hata kwa sehemu unayojua itakuumiza. any way...
Back
Top Bottom