Kama biashara ndio inaanza anza nao kwa mfumo wa nipe nikupe... papo kwa hapo. Kama biashara imeshakuwa na inajitegemea vizuri na haitoweza kuathirika na ucheleweshaji wa aina yoyote fanya nao ila kwa uangalifu, sio makanisa yote yana uaminifu.... Kuna makanisa mengi ya Pentekoste na si yote...
Usitudanganye. Upwiru sio ugonjwa wa akili. Mtu anayekwenda guest house ni kwa sababu ya upwiru tu umemkaba na hana pori la kwenda kujificha au hana uhuru wa kwenda nyumbani anakolala.
Kwenye maisha usikae pembeni na zigo la mawazo ya kushindwa kabla hujajaribu. We jaribu changamoto utakunana nazo huko huko na zina mlango wa kutokea.... kwani shing ngapiiiiiiiiii
Wana vitambi kwa sababu kama watumishi hawafuati maelekezo ya Mungu.
Mungu anasema..... kila kitu kwa kiasi... wao wanakula sana sana ... we wachunguze tu
Mtumishi wa Mungu ni yule anayeugua kwa ajili ya kondoo, lazima awe mfungaji na muombaji sana. Sasa mtu anayefunga na kula kwa kiasi...
Kimapenzi wanawake wa Nigeria wanapenda kutawala na kutoa amri, yaani awe juu ya mwanamume, anauwezo wa kukwambia simtaki mama yako aje hapa na utafanya hivyo. Wabinafsi wanaojipenda sana wenyewe, tena ukimpata mwenye pesa ndio ujue umekwishaaaaa. Wanakabaaaa balaaa, hupati muda wa kuwa peke...
Roho haifi bali inamtoka mtu. Ikimtoka kila kitu kinazima unabaki mwili ukimalizia hizo process za kuzima moyo, ubongo na viungo vingine na hapo ndio tunasema amekata roho. Jaribu kufikiria kuna wale ambao huwa wanauacha mwili na wanaenda kutembea huko then wanarudi... sikumbuki inaitwaje ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.