Recent content by majoto

  1. majoto

    JamiiForums Tanzania Nataka kuanzisha biashara, biashara iyo nataka kufanya na makanisa je watanilipa?

    Kama biashara ndio inaanza anza nao kwa mfumo wa nipe nikupe... papo kwa hapo. Kama biashara imeshakuwa na inajitegemea vizuri na haitoweza kuathirika na ucheleweshaji wa aina yoyote fanya nao ila kwa uangalifu, sio makanisa yote yana uaminifu.... Kuna makanisa mengi ya Pentekoste na si yote...
  2. majoto

    JamiiForums Tanzania Kukitokea mashambulizi ya Drones, Dar watu watakufa kama nzi

    Haitatokea
  3. majoto

    JamiiForums Tanzania Jux aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza! wana mnaonaje mwana kapigwa au ni copy

    huyo aliyevaa bangili la JOKA ndie mkewe? ndio maana jamaaa anakondeana
  4. majoto

    JamiiForums Tanzania Waenda guest wana changamoto ya afya ya akili

    Usitudanganye. Upwiru sio ugonjwa wa akili. Mtu anayekwenda guest house ni kwa sababu ya upwiru tu umemkaba na hana pori la kwenda kujificha au hana uhuru wa kwenda nyumbani anakolala.
  5. majoto

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Feisal Salum ataka Tsh. Bilioni 5 na Mshahara wa Tsh. Milioni 200 kwa Mwezi kwenye Mkataba mpya wa Azam

    Kwenye maisha usikae pembeni na zigo la mawazo ya kushindwa kabla hujajaribu. We jaribu changamoto utakunana nazo huko huko na zina mlango wa kutokea.... kwani shing ngapiiiiiiiiii
  6. majoto

    JamiiForums Tanzania Uhai wa binadamu unaanza wakati gani?

    kumbe kuna ma-uhai mengi sanaa yanapotea kwa siku. Imagine mbegu ngapi zinamwangwa na kufa kwa siku.... uwiiii
  7. majoto

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Feisal Salum ataka Tsh. Bilioni 5 na Mshahara wa Tsh. Milioni 200 kwa Mwezi kwenye Mkataba mpya wa Azam

    Hivi kwa nini vijana hamchangamkii hii kombi ya futiboli... khaaaa .... hamuoni fursaaaa?
  8. majoto

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Hujielewi... Nguo za club unavaa kwenye interview. Kafungue duka kariakoo achana na kuajiriwa maana hujui sifa za mwajiriwa.
  9. majoto

    JamiiForums Tanzania Kwanini watumishi wa Mungu wa Leo Wana vitambi?

    Wana vitambi kwa sababu kama watumishi hawafuati maelekezo ya Mungu. Mungu anasema..... kila kitu kwa kiasi... wao wanakula sana sana ... we wachunguze tu Mtumishi wa Mungu ni yule anayeugua kwa ajili ya kondoo, lazima awe mfungaji na muombaji sana. Sasa mtu anayefunga na kula kwa kiasi...
  10. majoto

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    Changamkia fulsa ya kuwa hapo Veta. jifunze hata jinsi ya kutunza magari itakusaidia kesho uraiani. utanikumbuka
  11. majoto

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kimapenzi wanawake wa Nigeria wanapenda kutawala na kutoa amri, yaani awe juu ya mwanamume, anauwezo wa kukwambia simtaki mama yako aje hapa na utafanya hivyo. Wabinafsi wanaojipenda sana wenyewe, tena ukimpata mwenye pesa ndio ujue umekwishaaaaa. Wanakabaaaa balaaa, hupati muda wa kuwa peke...
  12. majoto

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Vanessa Mdee ndio dawa ya huyu jamaa. Nigeria ameenda utumwani.
  13. majoto

    JamiiForums Tanzania Kwanini maisha binafsi ya mastaa yanapendwa kufatiliwa kuliko kazi zao?

    Maisha yao yanafuatiliwa kwa sababu wameamua kuyaanika barazani
  14. majoto

    JamiiForums Tanzania Je kitaalam kipi kinahusika na kifo kati MOYO NA UBONGO AU ROHO NA AKILI?

    Roho haifi bali inamtoka mtu. Ikimtoka kila kitu kinazima unabaki mwili ukimalizia hizo process za kuzima moyo, ubongo na viungo vingine na hapo ndio tunasema amekata roho. Jaribu kufikiria kuna wale ambao huwa wanauacha mwili na wanaenda kutembea huko then wanarudi... sikumbuki inaitwaje ila...
Back
Top Bottom