Recent content by majoto

  1. majoto

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    :p Hizo namba za Indonesia....... wanadhani wabongo tumelala
  2. majoto

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    🤣 Nikitapu unblock nitamshushia mitusi ya kiswanglish atajutaaaa
  3. majoto

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    Wanakera sana. Mtu unawaza ufanye nini ghafla kimeseji cha utapeli kinaingia..... unatamani awe karibu mzabe kibao
  4. majoto

    Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

    Amevaa sahihi kabisa. Yupo safari ya kikazi tena msibani lazima avae nguo zitakazomfanyia wepesi kushuka na kupanda gari, kupiga picha na kuongea na watu mbalimbali ..... NAKADHAA WA KADHA. Ulitaka avae Kanzu na koti.
  5. majoto

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    Wezi tu hao...
  6. majoto

    Kuna Bongo Movie moja naitafuta nimeisahau jina

    Unamaanisha ile ambayo Jambazi anavua viatu mlangoni au....
  7. majoto

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Ya kwako umefungua wapi tuje tukuungishe
  8. majoto

    Utitiri wa vyama vya wafanyakazi chanzo cha kukosa umoja wao

    Wenzetu huko mmeshagawiwa fulana?
  9. majoto

    Ewe Muajiriwa: Mara paap umesitishiwa ajira yako, utafanyaje?

    Nitashukuru niko mzima. Nitaanza kutumia akiba nilizojiwekea wakati wa ajira kutafuta kitu kingine cha kuniingizia kipato.
  10. majoto

    Mwanaume tambua thamani yako

    Malezi ya kizazi cha mlengo wa kumkomboa mtoto wa kike, kimemuathiri sana mtoto wa kiume. Popote ulipo msaidie mtoto wa kiume ajitambue kwamba yeye ni mwanamume, mtawala, kichwa cha nyumba, mpambanaji, nguzo ya taifa na familia. Mapambano yaanzie nyumbani. Mwanamke mpambanie mwanao wa kiume...
  11. majoto

    Edo Kumwembe: Fiston Mayele anaumia sana kuona Yanga inafanikiwa bila yeye

    Hakuna mtu anayeweza kumtakia mema X wake!
  12. majoto

    Afya ya akili: Ambaka kuku hadi kufa!

    Mnataka nini nyie binadamu? mnawatukama singo maza hapo hapo mnataka kuwamwagia maoil yenu bureee waendelee kuzaa ovyo! kama haitoshi mnawalaumu kwa nini wanavibania! Ukizidiwa owa ukae nayo ndani... kama huwezi pambana na sabuni zako hadi upinde kama upinde wa mvua..... Waacheni binti zetu!!!
  13. majoto

    Nikiikumbuka kauli hii ya Dr Askofu Malasusa naumia sana kwa nini amekuwa Askofu tena wana jf nisameeni.

    Samehe uwe na amani moyoni mwako. Yeye aliwadharau na kuwasimanga watoto wa masikini lakini Mungu huyu wetu sote bado akautumia mdomo huo wake kushauri ifanyike Harambee!! achilia, achana nae maisha yaendeleee
  14. majoto

    Naelekea Pemba, naombeni uzoefu wa kimazingira

    Kwa mwezi huu kuwa mgeni mtafiti Pemba... utapata tabu kidogo. Sio muda rafiki sana. Ni vigumu kupata ushirikiano kirahisi kama huna wenyeji.
  15. majoto

    Wadau hivi kati ya Mwanamke anayeomba pesa mara tu baada ya kukubali kuwa na mahusiano na mwanaume na mwanaume anayeomba sex mara tu baada ya kukubali

    Moja ya Sababu ya kuanzisha mahusiano kwa wanaume ni kupata pa kumwaga oil, hivyo akikubaliwa tu anataka service. Mwanamke hutumia nafasi hiyo kuona amepata pa kuponea mahitaji yake..... hakuna service ya bure hivyo hatachelewa kuomba pesa! Hii tunaita mbwa kala mbwa. Toa nitoe 🤣 au nipe...
Back
Top Bottom