Hata mimi huu urafiki kwa kweli siuelewi ushauri wa JK ulikuwa ni sahihi kabisa. Kama Rwanda inataka kuwa nchi ya amani lazima wakae meza moja na FDLR wamalize tofauti zao. Wazungu wanasema if you lay down with dogs you might wake up with flees. Sifa za Kagame zinajulikana duniani kote, kailetea...
Trial and error jamani kuna vitu vingine tunajifunza tunavyokwenda. Bora serikali hii wanajaribu mbinu mbali mbali kuliko yale malofa yaliondoka mwaka jana
Waziri wa kilimo lazima tupate mtu anaeza kuendeleza kilimo kama raisi anataka kupunguza tatizo la ajira. Nilishangaa sana Mwigulu kapewa kilimo. Mwigulu kilimo anakijua toka wapi ?
Tokea nione ile video ya Makonda kule bandarini anatafuta mabehewa ya sukari. Sijawahi kuona lofa kama huyu mtu hata shule sijui kasoma wapi kwa sababu hata train of thought hana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.