Asbh ya leo nilimpata mgeni ambaye ni mtawa ofcn kwangu. Ndani ya muda mfupi alipokea simu na kuanza kulia. Nilipomuuliza alinipa taarifa za hiyo ajali na bahati mbaya padri mmoja aliyefariki ni binamu yake. Walikuwa wanakwenda kwenye upadrisho. Namfahamu padri Mwelinde. Mungu awapumzishe kwa amani.
Pumzika kwa amani ndugu yangu Kamukara. Kwa mara nyingine wana SAUT tumepata pigo kwenye tasnia ya habari. Mwenye taarifa za mazishi na kuaga atuambie pls.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.