Recent content by Majojo

  1. M

    Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

    Salute kwako mkuu, you said it well.
  2. M

    Ajali Kyaka, Kagera: Basi la Sabuni na gari ndogo ya Kanisa yagongana, Watu wapoteza maisha

    Asbh ya leo nilimpata mgeni ambaye ni mtawa ofcn kwangu. Ndani ya muda mfupi alipokea simu na kuanza kulia. Nilipomuuliza alinipa taarifa za hiyo ajali na bahati mbaya padri mmoja aliyefariki ni binamu yake. Walikuwa wanakwenda kwenye upadrisho. Namfahamu padri Mwelinde. Mungu awapumzishe kwa amani.
  3. M

    Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

    Hahahahahahahaaaaa...penda sana hii mimi
  4. M

    Tanzia: Mwandishi wa Habari, Edson Kamukara afariki Dunia kwa ajali ya moto wa gesi

    Pumzika kwa amani ndugu yangu Kamukara. Kwa mara nyingine wana SAUT tumepata pigo kwenye tasnia ya habari. Mwenye taarifa za mazishi na kuaga atuambie pls.
  5. M

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    Kawatafute mabibi wa Kihaya wanajua sana dawa ya tatizo hili.
  6. M

    Ajali Mbinga-Ruvuma: Gari lapata ajali na kuua Padre mmoja na Makatekista sita

    Sio kweli, Kanisa Katoliki lina makatekista wanawake, mama yangu ni mmoja wao. Parokia ya Mavurunza hapa Dar ina katekista mwanamke.
Back
Top Bottom