Nina kiwanja nimenunua milion 4 na katika mauziano hayo tulifanya katika maandishi na pia tukaenda serikali ya mtaa tukajaza fomu inayoashiria mm ndo muhusika , sasa wakuu ikabidi nianze ujenzi mdogo mdogo kwa sababu nilikuwa na akiba nikaona nijivute mdogo mdogo nipo karibu na lenter mkwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.