Hamna kitu hapo afya aligoma alienda kujiongezea nguvu kwa cndano kwanza wtz tunapakwa mafuta kwa nyuma ya chupa maana waliowengi walienda kwenye kumbi kuangalia nn atasema wengne hawama tv majumbani mwao anaendesha kampeni kwa wenye uwezo tu cc wagongea tv hatumpati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.