Recent content by Majimengi

  1. M

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    Hiyo ni kweli, lakini kwa hili ! ! Sijui kama lilo hivyo.
  2. M

    Mungu anaweza kutenda dhambi?

    Kama dhambi ni kukiuka/kutotii amri ya Mungu. Sasa, Mungu anapochoma watu moto, au vyovyote afanyavyo, hua amekosa kutii amri ya nani?
  3. M

    Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

    Muheshimiwa El, hajawahi, wala hatawahi kufanana na Sokoine, Sokoine, alikuwa moto wa kuotea mbali.
  4. M

    Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

    Kweli ! Jamii foroum (hoja mchanganyiko), kuna mawazo, na fikra mchanganyiko.
  5. M

    Kwa hii mibinuko wake zetu watapona kweli kwenye hizo gym?

    Pombe mzuri kunywea bar, sio chumbani.
  6. M

    Inahuzunisha! Hili ni jengo lililogharimu kiasi cha mil. 13 kweli?

    Watu wanakula kwa urefu wa kwamba zao. Tuache wivu
  7. M

    Nimekutana na monitor wangu wa darasa amechoka, yaani amechakaa kinoma!

    Ulifikia hatua ya kuchungulia watu chooni? (achalia mbali Mwlm!! ) wewe ulikuwa hatari ! Sijui kwa vipi, walimu nao wakakulea sana wakachelewa kukufukuza!
  8. M

    Kusomesha watoto sana, ni njia ya kujiongezea upweke huko uzeeni

    Uwe nao, au usiwe nao, hilo lazima litokee. Jipange kwa hilo.
  9. M

    Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

    Kuzaa, au kutozaa, hakuhusiani, wala hakufanani, na mada yenyewe.
  10. M

    Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?

    Labda wanakosa staha, kutokana na mambo,na taratibu zao, kama ni hivyo, hata wakiitwa malaika, na neno malaika litakosa staha!
  11. M

    TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

    Mungu sio mbadhifu, siku zote humuweka mja wake anapositahili. Umuombe au usimuombe.
  12. M

    TANZIA Medi wa Ngara Oil afariki Dunia

    Raisi! Kahusikaje hapo?
Back
Top Bottom