Ha a ! ha a !Lete mapendekezo......
Usipende kuchafua mada za wanaume wenziouna IDs ngapi ?
Labda wanakosa staha, kutokana na mambo,na taratibu zao, kama ni hivyo, hata wakiitwa malaika, na neno malaika litakosa staha!Kiswahili chake ni muhudumu wa baa. Umezungumzia jina lenye staha sasa kuitwa bar maid na ni kweli ni bar maid staha ipi wanaikosa?
Au "dada lishe" kwa maana wengi wao ni akina dada wadogo wadogo.Ha a ! ha a !
'Wahudumu wa bar'
Kwani barmaid ni jina baya? Au kwa sababu siyo lugha yako?Habari za wakati huu jamiiforums.
Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?
Binafsi ninaona kama wanasiasa wamewasahau sana hawa akina dada wanaotoa huduma kwa wateja kule bar. Neno mama lishe, kama sijakosea, lilianzishwa na mzalendo mwenzangu Hayati mzee B.W Mkapa (wahenga mtanisahihisha katika hili kama nitakuwa nimekosea) sasa mbona "barmaids" nyie wanasiasa mmewasahau?
SOMA PIA>>> Kuna haja ya Serikali kupitia wakuu wa wilaya na mikoa kuwabana wamiliki wa baa ili dada zetu wahudumu wapewe kadi za bima ya afya ya CHF?
Huyu jamaa unapoteza muda kumuelewesha. Ni wale watu wanaodhani neno ''barmaid'' lina maana sawa na kahaba au changudoa. Ni watanzania wengi sana hawajui hili neno ni la kiingereza. Wanadhani linawakilisha au linaelezea sifa za ukahaba wanazokuwa nazo wahudumu wengi wa bar.Kwahio tatizo sio jina ni perception za watu.
Haya ni mawazo yako wewe au yangu mimi?...Huyu jamaa unapoteza muda kumuelewesha. Ni wale watu wanaodhani neno ''barmaid'' lina maana sawa na kahaba au changudoa.
Bar maid...a woman who serves drinks in a bar. Kwani hili jina ambalo linaeleza kazi yao halina staha?
Wahusika hawayapendi...Kwani barmaid ni jina baya?
Sio mimi ila wao ndio hawataki kuitwa hivyo...Labda anataka tutoe "Maids" na tuweke "attendants" japo sidhani kama itasaidia
Nimefurahi sana kujua kuwa umetambua hilo neno linachukuliwa vibaya na watanzania wengi. Sasa ni jina lipo zuri la kiswahili litafaa?Huyu jamaa unapoteza muda kumuelewesha. Ni wale watu wanaodhani neno ''barmaid'' lina maana sawa na kahaba au changudoa. Ni watanzania wengi sana hawajui hili neno ni la kiingereza. Wanadhani linawakilisha au linaelezea sifa za ukahaba wanazokuwa nazo wahudumu wengi wa bar.
Utani tuKwa sasa sina ndugu "barmaid" labda siku za baadae.
Aisee!Labda wanakosa staha, kutokana na mambo,na taratibu zao, kama ni hivyo, hata wakiitwa malaika, na neno malaika litakosa staha!
SawaUtani tu
Havina tija kwako ila vina tija sana kwanguTafuta pesa acha kuwaza vitu visivyo na tija
yote kheriSio mimi ila wao ndio hawataki kuitwa hivyo...