Aliye kwenye mabadiliko hawezi kugeuka hata ukimpa pesa atachukua nakura hakupi. Msilazimishe ushindi Watu wamechoka na ahadi zauongo.wacheni wawonje mabadiliko.
Rais tajiri na raisi masikini bora yupi? Marekani hutawaliwa na maseneta kwanini na Tanzania isitawaliwe na watu wa anihii.mm naona Lowasa anawe kuwa Rais ni mtu mwenye hela matatizo madomado anaweza kuingia mfukoni. Kuliko masikini mpaka ajijenge yeye dio aanze kuangalia wengine.
Huna la maana kuongea sana hakunama.kinachotakiwa ni utekelezaji wa ahadi sio miaka hamsini ahadi zisizo tekelezeka.tumechoka ahadi za midomoni bilakitendo.
Hakuna wa kupinga Lowasa ndiyo Rais wa awam ya Tano.anayepinga akajinyonge: hilohalinaubishi .Anayepinga mabadilio huyo hanamaono nafkiri zakuelewa ninimaana yamabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.