Watapambana lakini hawatashinda,nguvu ya umma huwa haizui nguvu ya fedha ama dola.Sauti ya watu ni sauti ya MUNGU.Wapumbavu na malofa wenzangu tusikate tamaa,ni lazima tuwakatae wote wanaopinga mabadiliko,hata kama wana heshima ya namna ya pekee katika jamii yetu.Mustakabali wa Maisha yetu upo mikononi mwetu!!
Act wameshindwa kumhakikishia dr slaa usalama wake.
Zitto ameshituka asije slaa akawa popular kuliko yeye then amnyang'anywe chama chake.
Pili slaa huyuhuyu ndie aliyemfukuza zitto CDM.
zimebaki siku ngapi barabara!!!?
tupige kura barabara!!
kweli tutayaona mengi tutasikia mengi, msimamo wangu ni palepale.
MABADILIKO NI LAZIMA!! na kura yangu ni ya mhimu mno kwa mtu sahihi, na chama sahihi kwa sera zake! nimechoka kudanganywa.
Zitto nn dira yako katika siasa unayumba yumba unadokoa kila mahali tengeneza misimamo ya kisiasa otherwise utasahaulika katika siasa,tambua mahitaji ya watu kwa wakati ni nini ungana nao jina lako likumbukwe kwenye ukombozi.siasa chafu mwisho october 25
Vitisho vya kuuliwa mchezo. Hao jamaa usipokuwa na ulinzi wa kutosha wanakuondoa,chezea mafia hao na hata wakipata nchi msifikiri mtakuwa huru kama mlivyokuwa huru kwa Kikwete
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.