Recent content by majid salim dossa

  1. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Simu inanisumbua Camera

    Inaonesha hivyo
  2. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Simu inanisumbua Camera

  3. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Simu inanisumbua Camera

  4. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Simu inanisumbua Camera

    Wakuu habar zenu mimi na shida simu yangu inanisumbua camera. Itel a32f, camera inaonesha giza nimepeleka kwa fundi akabadilisha akaweka camera zingine lakini bado inaonesha giza tu nimejaribu pia kwa fundi mwingine kabadisha kaweka zingine lakini inaonesha hivyo hivyo kuback up naye nimeback up...
  5. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, mwenye dread anaruhusiwa kufunga Ramadhani?

    zang mkuu
  6. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, mwenye dread anaruhusiwa kufunga Ramadhani?

    hmn mkuu natafuta uhakika hmn mkuu natafuta uhakika shukrani mkuu
  7. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, mwenye dread anaruhusiwa kufunga Ramadhani?

    kwahiy haina shida yeyote
  8. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, mwenye dread anaruhusiwa kufunga Ramadhani?

    Wakuu habari zenu poleni na kazi mimi ni kijana wa Kiislam ila nimefuga nywele maana yake na dread kichwani sasa kwa wale ambao wanajua je wenye dread wanaruhusiwa kufunga? Naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaani nikifunga na hizi nywele kichwani nitakuwa nakaa na njaa...
  9. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Wakuu natafuta ajira, nimeishia Darasa la saba

    Habari zenu wana JF yote, Mimi ni kijana mwenye miaka 22 ninaishi Arusha elimu yangu nimeishia Darasa 7 nimetoka kijijini toka 2014 nilikuwa nafanya kazi kwa wahindi kusambaza bidhaa mbalimbali za maduka kwasababu Wahindi wana maduka mengi hapa mjini toka Corona iingie wafanyakazi itabidi...
  10. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, haya ni madini gani?

    yana thamani yoyot
  11. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, haya ni madini gani?

    kivip mkuu sijakuelew
  12. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, haya ni madini gani?

    serious ok
  13. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, haya ni madini gani?

    ndo nan
  14. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, haya ni madini gani?

    duh weny ujuz embu njoon
  15. majid salim dossa

    JamiiForums Tanzania Je, haya ni madini gani?

    nimeyaokota mkuu boma moshi huko
Back
Top Bottom